#COVID19 Hadi sasa hakuna mkakati wa matumizi ya bima ya afya na mpango kuwasaidia wagonjwa wa Corona kupunguza gharama za matibabu

Chukua tahadhari mkuu. Japo huwezi kujua mlango wa bahati/balaa. Mwenyezi MUNGU awalinde.
Hizo dalili ulizonazo sasahivi nilizipata mwanzoni mwa mwaka 2020 lakini nikavuka na sasahivi niko fiti tu. Ondoa shaka utapona tu
 
Back
Top Bottom