Kama ilivyo ada tunaelewa elimu ndo kila ki2, japo kuna wahun wanasema eti hela ndo kila kitu,ambapo ni SAWA NA MATUSI YA MATAWI DHIDI YA SHINA kigezo menyewe yanaonekana zaidi ila hayana nguvu na mzazi ni shina.tuulizane hadi lini mtanzania wa kawaida atakuwa na elimu ya kimaendeleo,mapinduzi,utambuzi na kiharakati?