Hadi lini atleast kila m -tz atafaidika na elimu yetu?

Emwaay

Member
Jul 10, 2012
25
0
Kama ilivyo ada tunaelewa elimu ndo kila ki2, japo kuna wahun wanasema eti hela ndo kila kitu,ambapo ni SAWA NA MATUSI YA MATAWI DHIDI YA SHINA kigezo menyewe yanaonekana zaidi ila hayana nguvu na mzazi ni shina.tuulizane hadi lini mtanzania wa kawaida atakuwa na elimu ya kimaendeleo,mapinduzi,utambuzi na kiharakati?
 
May b 2kirud awamu ya 2,baada ya hii dunia Kuangamia thn 2kifufuka xaxa na hope mambo yatakuwa mazuri mkuu.....bt 4 ths session ya 1 neva neva
 
Back
Top Bottom