2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 2,982
- 4,457
Habari za muda huu wanajamvi.
Poleni ndugu jamaa na marafiki pia kwa msiba mzito wa jamaa/rafiki yetu Ruge Mutahaba. Inauma sana na tutamkumbuka kwa mengi hasa kwenye mapinduzi ya soko la muziki wetu wa kizazi kipya yaani bongo fleva.
Katika ulimwengu huu uliochini ya Shetani Ibilisi kumekuwa na tabia za mazoa mabaya sana ambayo yana mshushia Mungu wetu heshima na kuonekana kama katili, kivipi? Pindi mtu anapokufa utasikia kila mtu wanasiasa,ndugu/jamaa wakisema:-
"TULIMPENDA LAKINI MUNGU KAMPENDA ZAIDI"
"MUNGU KAAMUA KUMCHUKUA"
"KIFO CHAKE KILINGWA HIVYO"
"MUNGU KAMPUNZISHA"
"BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA"
"KAZI YA MUNGU HAINA MAKOSA"
Ukweli ni kwamba Mungu hasababishi kifo cha mtu yeyote yule, Biblia inasema sifa kuu ya Mungu ni upendo 1Yoh 4:8 ikiwa hivyo Mungu anaweza kuuwa?
Biblia inataja wazi kuwa kifo ni adui na baadae Mungu atakiondoa, kifo kinawezaje kuwa pumziko la amani wakati yule aliekufa hayupo tena?
Mungu akimpenda mtu hawezi kumsababishia kifo, huyo mungu atakuwa katili basi, sababu haakuna anaependa kifo.
Ikumbukwe kuwa tunakufa sababu tumerithi dhambi ambayo alifanya Adamu na Hawa pale Eden(Rom 5:12)
Sababu zinazoweza sababisha vifo
tunazaliwa, tunakuaa, tunazeeka na tunarudi mavumbini(kufa), kuna magonjwa, au tukio lisilo tarajiwa na mwisho kabisa kifo cha kizembe au kujitakia.
Inasikitisha lakini tukishajua sababu basi...tutaumia kwa muda tukiwa na tumaini la kufufuliwa kwenye dunia paradiso. (Ndo 24:15)
TUSIPENDE KUFUATA MKUMBO TUCHUNGUZE KILE MUNGU AMESEMA KUPITIA NENO LAKE. SIO KAULI ZA VIONGOZI WA KIDINI NA MAZOEA YA KIPAGANI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Poleni ndugu jamaa na marafiki pia kwa msiba mzito wa jamaa/rafiki yetu Ruge Mutahaba. Inauma sana na tutamkumbuka kwa mengi hasa kwenye mapinduzi ya soko la muziki wetu wa kizazi kipya yaani bongo fleva.
Katika ulimwengu huu uliochini ya Shetani Ibilisi kumekuwa na tabia za mazoa mabaya sana ambayo yana mshushia Mungu wetu heshima na kuonekana kama katili, kivipi? Pindi mtu anapokufa utasikia kila mtu wanasiasa,ndugu/jamaa wakisema:-
"TULIMPENDA LAKINI MUNGU KAMPENDA ZAIDI"
"MUNGU KAAMUA KUMCHUKUA"
"KIFO CHAKE KILINGWA HIVYO"
"MUNGU KAMPUNZISHA"
"BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA"
"KAZI YA MUNGU HAINA MAKOSA"
Ukweli ni kwamba Mungu hasababishi kifo cha mtu yeyote yule, Biblia inasema sifa kuu ya Mungu ni upendo 1Yoh 4:8 ikiwa hivyo Mungu anaweza kuuwa?
Biblia inataja wazi kuwa kifo ni adui na baadae Mungu atakiondoa, kifo kinawezaje kuwa pumziko la amani wakati yule aliekufa hayupo tena?
Mungu akimpenda mtu hawezi kumsababishia kifo, huyo mungu atakuwa katili basi, sababu haakuna anaependa kifo.
Ikumbukwe kuwa tunakufa sababu tumerithi dhambi ambayo alifanya Adamu na Hawa pale Eden(Rom 5:12)
Sababu zinazoweza sababisha vifo
tunazaliwa, tunakuaa, tunazeeka na tunarudi mavumbini(kufa), kuna magonjwa, au tukio lisilo tarajiwa na mwisho kabisa kifo cha kizembe au kujitakia.
Inasikitisha lakini tukishajua sababu basi...tutaumia kwa muda tukiwa na tumaini la kufufuliwa kwenye dunia paradiso. (Ndo 24:15)
TUSIPENDE KUFUATA MKUMBO TUCHUNGUZE KILE MUNGU AMESEMA KUPITIA NENO LAKE. SIO KAULI ZA VIONGOZI WA KIDINI NA MAZOEA YA KIPAGANI.
Sent using Jamii Forums mobile app