Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 12,274
- 6,435
Swali lako na mtoa mada mtamalizana wenyewe ila langu mie ni hapo uliposema "Mungu kashindwa....." ndiyo maana nikakuuliza kwamba watu wanatenda dhambi kwa sababu Mungu ameshindwa kuumba ulimwengu ambako dhambi hazitendeki? Kwa sababu hii suala la Mungu kushindwa ni jipya kwangu ndio nakusikia wewe.Swali langu linauliza ilikuwaje mungu muweza yote alishndwaje kuumba ulimwengu ambao dhambi haiwezi kuwako mpaka kupelekea Adam na Hawa kuirithsha kwa wanadamu wengne mpaka kukawa na kifo.. Kwa maelezo ya mtoa mada!
wakati ukuta.