Ndachuwa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 6,269
- 4,569
Ndugu wana JF kwa aliyewahi kufika ofisi za msajili wa makampuni, mnaonaje hadhi ya lile jengo?
Jee ofisi muhimu kama hii ya msajili wa makampuni inastahili kweli kuwemo katika lile jengo? Hivi kweli kama umempata mbia wako toka nje ya nchi utakuwa tayari kwenda naye kwenye lile jengo au utakwenda peke yako?
Jee ofisi muhimu kama hii ya msajili wa makampuni inastahili kweli kuwemo katika lile jengo? Hivi kweli kama umempata mbia wako toka nje ya nchi utakuwa tayari kwenda naye kwenye lile jengo au utakwenda peke yako?