The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,003
- 3,269
Wakuu
Natumaini sote tunaifahamu nembo ya taifa (Coat of arms). Kuna vitabu vya watoto wa shule ya msingi vimeelezea hiyo nembo na wapi inawekwa. Watoto wetu wanafundishwa jambo jema huu ya hilo.
Pia mimi binafsi nadhani nembo ya taifa ni kitu cha heshima na kipekee; ndio maana utaikuta Ikulu au kwenye magari ya raisi; na sehemu zingine za kidola (state) au serikali.
Lakini kuna siku nilikuwa nasafiri kwa mwendokasi Dar. Nilishtuka kidogo kuiona hii nembo ipo kwenye vituo vya mwendokasi barabara ya Morogoro. Nimejaribu sana kuwaza kama hili ni sawa. Sijui members mnasemaje kuhusu kuiweka alama hii muhimu kwenye vituo vya mwendokasi.
Natumaini sote tunaifahamu nembo ya taifa (Coat of arms). Kuna vitabu vya watoto wa shule ya msingi vimeelezea hiyo nembo na wapi inawekwa. Watoto wetu wanafundishwa jambo jema huu ya hilo.
Pia mimi binafsi nadhani nembo ya taifa ni kitu cha heshima na kipekee; ndio maana utaikuta Ikulu au kwenye magari ya raisi; na sehemu zingine za kidola (state) au serikali.
Lakini kuna siku nilikuwa nasafiri kwa mwendokasi Dar. Nilishtuka kidogo kuiona hii nembo ipo kwenye vituo vya mwendokasi barabara ya Morogoro. Nimejaribu sana kuwaza kama hili ni sawa. Sijui members mnasemaje kuhusu kuiweka alama hii muhimu kwenye vituo vya mwendokasi.