TATA PANYA
Member
- Jul 26, 2013
- 54
- 7
why msichana unamfuata na kumweleza yote ya moyoni na kutaka awe wife to be!!! lakini anazingua, baada ya kuona hana mpango na wewe ukaamua kupotezea,God akakujalia ukampata unayempenda anayekupenda, ghafla yule dame anakujia tena na kuanza kukusumbua!! wakati wewe upo na manzi wako na anakuambia alijuaga unatania
UTAMJIBUJE HUYO MANZI!!!?
UTAMJIBUJE HUYO MANZI!!!?