Kamanda
Senior Member
- Dec 5, 2007
- 150
- 176
Jamani ndugu zangu wanaJamii Forums. Nimepokea taarifa za kifo cha mtoto wa Simba wa Vita- Rashid Mfaume Kawawa, Habiba Kawawa.
Habiba ambaye alikuwa kipenzi cha Mzee Kawawa, amefariki Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jioni hii ambako alikuwa amelazwa kwa matatizo ya uzazi.
Habiba alikuwa ameolewa na Maleko wakiishi Tegeta, jirani na Tegeta Bynight.
Nitawaletea zaidi baadaye.
Bwana ametoa. Bwana ametwaa Jina lake lihimidiwe.
Habiba ambaye alikuwa kipenzi cha Mzee Kawawa, amefariki Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jioni hii ambako alikuwa amelazwa kwa matatizo ya uzazi.
Habiba alikuwa ameolewa na Maleko wakiishi Tegeta, jirani na Tegeta Bynight.
Nitawaletea zaidi baadaye.
Bwana ametoa. Bwana ametwaa Jina lake lihimidiwe.