habari zenyu vandugu JF

Mbimbinho

JF-Expert Member
Aug 1, 2009
8,313
7,728
habari zenyu wajameni,
Nafurahi kuwa mmoja wa hii saiti, navashukuru member vote kwani kupitia kwenyu niliweza kuriwasika pale nilipokua katika wakati mgumu, kwani mmoja va rafiki zangu alikuwa ananipa habari ambazo zilinifanya nisahau sida zangu kwa muda mfupi, baadaye nilipomuuliza anazitoa wapi maana alikuwa haisiwi kabsaa, ndo akanialet hapa. hivo, nimeona niwe mwanajumuiya kabsaa.
Nasukuru vajameni, nafikiri nitakuwa mwanachama wa kwanza toka katika kijiji chetu cha Fyengereza wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa.
Asanteni vandugu.
 
habari zenyu wajameni,
Nafurahi kuwa mmoja wa hii saiti, navashukuru member vote kwani kupitia kwenyu niliweza kuriwasika pale nilipokua katika wakati mgumu, kwani mmoja va rafiki zangu alikuwa ananipa habari ambazo zilinifanya nisahau sida zangu kwa muda mfupi, baadaye nilipomuuliza anazitoa wapi maana alikuwa haisiwi kabsaa, ndo akanialet hapa. hivo, nimeona niwe mwanajumuiya kabsaa.
Nasukuru vajameni, nafikiri nitakuwa mwanachama wa kwanza toka katika kijiji chetu cha Fyengereza wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa.
Asanteni vandugu.

Walishafika humu tangia kaka hajawa waziri mkuu...Kodabosi karibu mkuu...ila ungekuja nyumbani kutaka account name ningekushauri uongeze herufi moja , n, katikati ya herufi o na d...karibu sana ndugu!
 
habari zenyu wajameni,
Nafurahi kuwa mmoja wa hii saiti, navashukuru member vote kwani kupitia kwenyu niliweza kuriwasika pale nilipokua katika wakati mgumu, kwani mmoja va rafiki zangu alikuwa ananipa habari ambazo zilinifanya nisahau sida zangu kwa muda mfupi, baadaye nilipomuuliza anazitoa wapi maana alikuwa haisiwi kabsaa, ndo akanialet hapa. hivo, nimeona niwe mwanajumuiya kabsaa.
Nasukuru vajameni, nafikiri nitakuwa mwanachama wa kwanza toka katika kijiji chetu cha Fyengereza wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa.
Asanteni vandugu.
Acha kutuongopea wewe ni ********* umetumwa na akina fulani kuchukua umbea huku.Tunakukaribisha ila elewa hapa pamejaa watu wa rika na upeo tofauti,ukijigonga tuu umeumia.Karibu sana.
 
Back
Top Bottom