habari zenyu banaa!

Qastrap

Member
Nov 24, 2010
17
0
ni vp str8Muzik ilivyobamba...si mmeziona performance za wakare kutoka mbare kule america? Ni tofauti kinoma na shoo za bongo ryt...ingawaje 2mezipga hatua kwnye ku-hip hopuka ka kina bonge na vi2 ka ivo!
Lakini t pain ni hatari hommiez....
 
Wabongo twaweza kufisadi tu, so usithubutu kumfananisha t-pain na msanii yeyote bongo...tupo nyuma ya zero yaani -ve, na kwa uongozi huu wa kuchakachua mh sijui!
 
Hili tamasha halikuwa na mkono wa CLOUDS MEDIA? Maana nimeiona katika matangazo ya CHANNEL TEN na DTV...
 
Lugha za kitaa hizo my dear wenyewe wanaita swangaz! sasa wewe huko yaeda chini na BAKITA huwezi ambulia kitu bana

mweee.....basi dear naomba unitafsirie....nina hamu sana ya kufuatilia sredi lakini ndio kama vile......sielewi
 
ni vp str8Muzik ilivyobamba...si mmeziona performance za wakare kutoka mbare kule america? Ni tofauti kinoma na shoo za bongo ryt...ingawaje 2mezipga hatua kwnye ku-hip hopuka ka kina bonge na vi2 ka ivo!
Lakini t pain ni hatari hommiez....
mhh twafire kinyammbari!!!!
 
ni vp str8Muzik ilivyobamba...si mmeziona performance za wakare kutoka mbare kule america? Ni tofauti kinoma na shoo za bongo ryt...ingawaje 2mezipga hatua kwnye ku-hip hopuka ka kina bonge na vi2 ka ivo!
Lakini t pain ni hatari hommiez....

habari zetu nzuri banaa.....we mpaka sasa una singo ngapi? na wewe una sound kama mwana ngeli ya genge
 
Hili tamasha halikuwa na mkono wa CLOUDS MEDIA? Maana nimeiona katika matangazo ya CHANNEL TEN na DTV...

Hapana TCC kwa kupitia brand yao ya SM ambao ndio walikuwa wadhamini wa hii shoo waliwapa deal jamaa wanaoitwa ENTERTAINMENT MASTERS kuendesha hili tamasha
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom