Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamani sijakuelewa.......
Lugha za kitaa hizo my dear wenyewe wanaita swangaz! sasa wewe huko yaeda chini na BAKITA huwezi ambulia kitu bana
Pole.......hii thread haikufai dear!!!!!mweee.....basi dear naomba unitafsirie....nina hamu sana ya kufuatilia sredi lakini ndio kama vile......sielewi
Pole.......hii thread haikufai dear!!!!!
jamani sijakuelewa.......
mhh twafire kinyammbari!!!!ni vp str8Muzik ilivyobamba...si mmeziona performance za wakare kutoka mbare kule america? Ni tofauti kinoma na shoo za bongo ryt...ingawaje 2mezipga hatua kwnye ku-hip hopuka ka kina bonge na vi2 ka ivo!
Lakini t pain ni hatari hommiez....
nipo Yaeda mpendwa
ni vp str8Muzik ilivyobamba...si mmeziona performance za wakare kutoka mbare kule america? Ni tofauti kinoma na shoo za bongo ryt...ingawaje 2mezipga hatua kwnye ku-hip hopuka ka kina bonge na vi2 ka ivo!
Lakini t pain ni hatari hommiez....
Hili tamasha halikuwa na mkono wa CLOUDS MEDIA? Maana nimeiona katika matangazo ya CHANNEL TEN na DTV...