masanjuo
Senior Member
- Oct 10, 2016
- 184
- 306
Mimi naitwa dada viollar ninaumri wa miaka 28.
Kwa sasa kilichonileta Mimi napenda sana kazi ya jeshi kutoka kutoka muda mrefu sana sana naomba nimeenda JKT nmekaa OP Merelan nmelud hamna kitu.
Akili imeshndwa kufanya chochote inawaza JKT tu jamani Wana JF naombn ushirikian namawazo yenu jinsi yakupata tu hizi kazi ili mradi zikitok wa12 huu namm niweze kutimiza malengo. Karibun kwa ushauri na maoni bila kusahau msaada pia njia ntakayotumia namimi niingie chomboni.
Kwa sasa kilichonileta Mimi napenda sana kazi ya jeshi kutoka kutoka muda mrefu sana sana naomba nimeenda JKT nmekaa OP Merelan nmelud hamna kitu.
Akili imeshndwa kufanya chochote inawaza JKT tu jamani Wana JF naombn ushirikian namawazo yenu jinsi yakupata tu hizi kazi ili mradi zikitok wa12 huu namm niweze kutimiza malengo. Karibun kwa ushauri na maoni bila kusahau msaada pia njia ntakayotumia namimi niingie chomboni.