Ahmad bin Adam
New Member
- Sep 18, 2021
- 1
- 1
Feedback.
Nenda kwa mark juice akupe muongozo..hyo business imevamiwa dar hapa...kila kona..Nina ndoto ya kufungua duka la vinywaji vya matunda asili, (smoothie), kahawa, na fruti. Nimefikiria pia kutengeneza mfumo wa kimtandao ambao utamruhusu mtu kununua na kuweka order ya vitu hivyo ambavyo nitataka kuuza.
Mpaka hapa kwanza wacha ni check feedback zenu.