Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Katibu taarifa ambayo imetolewa na Kaimu Msajili wa Magazeti, Patrick Kipangula imesema kuwa taarifa hiyo haina ukweli na ina nia ya kumdhalilisha Kikwete ambaye aliondoka madarakani mwaka jana 2015 na nafasi yake kuchukuliwa na Rais wa awamu ya tano, Dk. John Magufuli
Hivyo kutokana na kuchapishwa kwa habari hizo, Serikali kupitia Ofisi ya Msajili wa Magazeti imetoa onyo kwa gazeti la Mtanzania na kuvikumbusha vyombo vya habari kuzingatia maadili ya uandishi wa habari.