pido guy
JF-Expert Member
- Apr 7, 2016
- 249
- 275
Ninaitwa Alfred James ninaishi Arusha kikazi nimeajiriwa serikalini ila mimi ni mwenyeji wa kanda ya ziwa mkoa wa Mara wilaya ya Bunda
Umri wangu miaka 32 nina watoto wawili wote wa kiume,
Natafuta mwanamke wa kuoa awe na umri angalau miaka 24-27 mrefu na mnene wa wastani na akiwa mwembamba asiwe mwembamba sana awe mweupe au maji ya kunde
Hakika nitampenda
Umri wangu miaka 32 nina watoto wawili wote wa kiume,
Natafuta mwanamke wa kuoa awe na umri angalau miaka 24-27 mrefu na mnene wa wastani na akiwa mwembamba asiwe mwembamba sana awe mweupe au maji ya kunde
Hakika nitampenda