Mtanga Tc
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 235
- 84
I thought I was the only one.....Kwa wale wanaoangalia Local TV kwa kupitia Dstv ndiyo mbaya zaidi kwani,TBC1 ndiyo pekee inayorusha matangazo ndani ya dstv.Mwenyewe nimeshuhudia mara kadhaa mtajwa akipotezea baadhi ya vichwa vya habari,hata hivyo mara nyingi kamera inamuumbua kwani headings zinakuwa zimeshanaswa na kamera!!.