Habari za Kusagana, Ngono, na Serikali ya CCM!

MWKJJ unajua wanasiasa wajanja sana. Wameshajua kwamba acha waruhusu haya mambo kuwakeep busy wabongo manake baada ya wabongo kukata tamaa na siasa za kibongo bongo basi habari za namna hii zitawaondoa msongo wa mawazo. Ukitaka kujua, angalia kiwango cha mauzo cha haya magazeti ya 'udaku'.

Pili unategemea serikali itafanya nini kama 'tajiri' wa baadhi ya haya magazeti ni kada wao maarufu wa 'mambo ya vijana na ukimwi'?

Suala la msingi ni kwamba kuna haja ya serikali kuendena na hizi mbio za teknolojia na kuhakikisha inaziboresha sheria zake katika kusimamia haya masuala.
 
FM naona uko mbali na hoja ya MKJJ, haukatazwi kuchagua upande, na ukisha chagua upande huna haja ya kusema, kwani hoja yako inajitosheleza kuona uko tofauti na MKJJ! kusema na kuutangazia umma kuwa uko kinyume nae kun tatizo hapa(Inf-cmplx).

Gazeti , au hiyo habari haijatoa habari kama vile inafundisha ubaya wa hii tabia katika jamii, tumeona kama inapromote au KUWAFUNGUA MACHO WATU WASIOJUA HII KITU.

Angalia maneno haya!

1. Alikuwa analia kwa mahaba
2. Alikuwa na kitu mfano wa uume!
3.Sina mume nipo singo! kusagana ni mchezo ninaoupenda!!
4. Miguno ya mahaba

Mzee haya maneno unaweza ukayasema mbele ya watoto wako??
Kufundisha ubaya wa hili swala ni tofauti na kudescribe hili swala, kudscribe kunamwachia msiklizaji aamue yeye mwenyewe, kuwa japo kuna ubaya kumbe pia kuna uzuri! Tunapofundisha watoto ubaya wa kitu fulani lets say Ngono we only describe bad things, na kuwa anaruhusiwa kufanya ngono wakishaoana. HAKUNA UZURI WOWOTE WA KUMWELEZEA MTU KUHUSU USAGAJI!
 
FM naona uko mbali na hoja ya MKJJ, haukatazwi kuchagua upande, na ukisha chagua upande huna haja ya kusema, kwani hoja yako inajitosheleza kuona uko tofauti na MKJJ! kusema na kuutangazia umma kuwa uko kinyume nae kun tatizo hapa(Inf-cmplx).

Gazeti , au hiyo habari haijatoa habari kama vile inafundisha ubaya wa hii tabia katika jamii, tumeona kama inapromote au KUWAFUNGUA MACHO WATU WASIOJUA HII KITU.

Angalia maneno haya!

1. Alikuwa analia kwa mahaba
2. Alikuwa na kitu mfano wa uume!
3.Sina mume nipo singo! kusagana ni mchezo ninaoupenda!!
4. Miguno ya mahaba

Mzee haya maneno unaweza ukayasema mbele ya watoto wako??
Kufundisha ubaya wa hili swala ni tofauti na kudescribe hili swala, kudscribe kunamwachia msiklizaji aamue yeye mwenyewe, kuwa japo kuna ubaya kumbe pia kuna uzuri! Tunapofundisha watoto ubaya wa kitu fulani lets say Ngono we only describe bad things, na kuwa anaruhusiwa kufanya ngono wakishaoana. HAKUNA UZURI WOWOTE WA KUMWELEZEA MTU KUHUSU USAGAJI!

Tatizo la FM ni kuwa hoja yangu inaonekana kupinga ushoga na kuwa sitaki watoto wetu wajifunze mambo ya ushoga kitu ambacho kwake yeye hana tatizo nacho. Kwa sababu, mtu akipinga ushoga anaonekana kupinga haki za watu na ya kuwa yawezekana ana mawazo ya kizamani.

Kutokana na mtazamo wake huo (jinsi alivyoutetea na mimi nilivyoulewa) ana miss kabisa hoja yangu inayohusu maadili ya ngono kwa watoto na role ya serikali. Mfano wa kusagana ni mfano mmoja tu wa mambo ya ngono; kwangu mimi hauna tofauti kabisa na kuandika kwa uwazi kuhusu kumfuma mtu akijichua na kusimulia kuwa alishika sabuni ya mbuni mkono gani!

Kuna mambo ambayo watu wazima wanaweza kufanya au kuzungumza katika rika lao, lakini kwa watoto kuna mambo ni muhimu tuyacheleweshe ili waweze kukomaa kiakili, kivionjo na kimaumbile. Yeye, haoni tatizo hilo la kutoa hizo habari to such impressionable teens.
 
FM naona uko mbali na hoja ya MKJJ, haukatazwi kuchagua upande, na ukisha chagua upande huna haja ya kusema, kwani hoja yako inajitosheleza kuona uko tofauti na MKJJ! kusema na kuutangazia umma kuwa uko kinyume nae kun tatizo hapa(Inf-cmplx).

Gazeti , au hiyo habari haijatoa habari kama vile inafundisha ubaya wa hii tabia katika jamii, tumeona kama inapromote au KUWAFUNGUA MACHO WATU WASIOJUA HII KITU.

Angalia maneno haya!

1. Alikuwa analia kwa mahaba
2. Alikuwa na kitu mfano wa uume!
3.Sina mume nipo singo! kusagana ni mchezo ninaoupenda!!
4. Miguno ya mahaba

Mzee haya maneno unaweza ukayasema mbele ya watoto wako??
Kufundisha ubaya wa hili swala ni tofauti na kudescribe hili swala, kudscribe kunamwachia msiklizaji aamue yeye mwenyewe, kuwa japo kuna ubaya kumbe pia kuna uzuri! Tunapofundisha watoto ubaya wa kitu fulani lets say Ngono we only describe bad things, na kuwa anaruhusiwa kufanya ngono wakishaoana. HAKUNA UZURI WOWOTE WA KUMWELEZEA MTU KUHUSU USAGAJI!

waberoya heshima yako mkuu,

Naomba kukuuliza mkuu, kulingana na hayo maneno, je, haya magazeti ya 'udaku' yanawafanyakazi wenye taaluma za uandishi mfano wahariri waowamesomea hiyo kazi au ndo kurusha chochote katika lugha 'kali' kama hiyo uliyoweka hapo juu? je, kuna haja ya kuwa na sheria inayosema mwandishi hasa wa daraja fulani awe na elimu fulani,

Wabheja,

Shadow!
 
Utamaduni wetu kweli una ari mpya na kasi kweli kweli!

Hatuwezi kulalama kuwa "Serikali ya CCM!" pekee ndio wa kusitisha haya. Mwandishi wa hilo gazeti au kijarida naye hana utamduni wa 'Kiafrika' kama sikosei. Labda amesomea kwenye tamaduni zingine!

Haya ni matokeo ya mengi yanayoambatana na ukurupukaji wa kujenga Uchumi kwa kigezo cha 'ari mpya' na 'kasi mpya'- tunasahau madhara yanayoambatana hususani kwenye nyanja za Jamii na Utamaduni.

Watanzania tunazo tough choices sasa na mbeleni!
 
waberoya heshima yako mkuu,

Naomba kukuuliza mkuu, kulingana na hayo maneno, je, haya magazeti ya 'udaku' yanawafanyakazi wenye taaluma za uandishi mfano wahariri waowamesomea hiyo kazi au ndo kurusha chochote katika lugha 'kali' kama hiyo uliyoweka hapo juu? je, kuna haja ya kuwa na sheria inayosema mwandishi hasa wa daraja fulani awe na elimu fulani,

Wabheja,

Shadow!

Kaka corrupt mind haina elimu!
Hakuna uhusiano wa tabia njema au nzuri na elimu!

Nimeona madereva wasiosomea chuo chochote wasio na elimu yeyote wanaheshimu sheria za barabarani kuliko waliosomea VETA au mabibo!

Nimeona pia wahandisi vijana wanafanya kazi kufuata ethic zote kuliko wazee wazoefu.

Nimeona wala rushwa ni wale wasomi sana!!!



Kuwe na sheria za kuzuia hayo maneno lakini hiyo sheria isiambatane na kusema wahandishi wenye elimu fulani wasifanye kazi hii au ile.

Narudia tabia mbaya haina uhusian na elimu ya mtu.
 
Tatizo la FM ni kuwa hoja yangu inaonekana kupinga ushoga na kuwa sitaki watoto wetu wajifunze mambo ya ushoga kitu ambacho kwake yeye hana tatizo nacho. Kwa sababu, mtu akipinga ushoga anaonekana kupinga haki za watu na ya kuwa yawezekana ana mawazo ya kizamani.

Kutokana na mtazamo wake huo (jinsi alivyoutetea na mimi nilivyoulewa) ana miss kabisa hoja yangu inayohusu maadili ya ngono kwa watoto na role ya serikali. Mfano wa kusagana ni mfano mmoja tu wa mambo ya ngono; kwangu mimi hauna tofauti kabisa na kuandika kwa uwazi kuhusu kumfuma mtu akijichua na kusimulia kuwa alishika sabuni ya mbuni mkono gani!

Kuna mambo ambayo watu wazima wanaweza kufanya au kuzungumza katika rika lao, lakini kwa watoto kuna mambo ni muhimu tuyacheleweshe ili waweze kukomaa kiakili, kivionjo na kimaumbile. Yeye, haoni tatizo hilo la kutoa hizo habari to such impressionable teens.

Hapana, Mkuu. Ninachokupinga ni kuwa unajaribu ku-demonize homosexuality kwa kutumia kisingizio cha kulinda morals za minor wetu! Hiki kitendo kwangu mimi ni insidious. Ingawa unajaribu kukwepa lakini mifano yako ya kuwa homosexuals wana corruptive influence katika jamii (uki-quote wagiriki wa kale) na kuwa ni criminal act inakusuta. Unamorph homosexuality na ushoga, kitu ambacho si sahihi. Homosexuals ni wote wanaotendewa na wanaotenda wakati katika jamii yetu shoga ni yule anayetendewa tu. Huyu ndiye tunaemlaani wakati mtendaji tunamkubali! Unawashutumu mashoga na wasagaji kuwa wana corrupt minors wakati ushahidi wote ni tofauti na hapo. Maishani mwangu ni shoga mmoja tu ambae nimesikia akiwarubuni vijana. Huyu alikuwa mwalimu mmoja wa kihindi katika shule ya Tambaza. Lakini ni mara chungu mzima nimesikia habari za wale ambao wanajihesabu kuwa wanaume rijali wakiwabaka watoto wadogo wa kiume au vijana wa kiume walioonekana kuwa wana mienendo ya kike! Magazeti yetu yamejaa kesi kibao za hao wanaojihesabu kuwa heterosexuals wakiwabaka watoto wadogo lakini wewe una-insinuate kuwa ni hawa homosexuals ndiyo wanao corrupt watoto wetu?

Tofauti na unachotaka kusema, sipingi serikali kuwa na miongozo ya kitu gani kinapaswa kuwa accessible kwa minors (Teens sio lazima awe minor). Napinga aina zote za child pornography ( hetero au homo). Napinga accessibility ya hardcore na hata softcore porn kwa minors. Tofauti yangu na wewe ni kuwa kupinga kwangu hakuna maana kuwa masuala yanayohusu ngono hayana nafasi katika public arena. Naamini ni kwa kuyazungumza wazi wazi ndiyo hao minors watajifunza namna ya kuwa responsible katika behaviour yao. Sasa tuki -criminalize maneno kama kusagana, kubaka, kujichubua, dildos n.k. tunawafundishaje hawa vijana wetu athari za kuendekeza mambo haya?

Maneno aliyoyatoa Waberoya ni offensive lakini hauwezi ukayaita pornographic. Binafsi, sioni tatizo la kuyatumia mbele ya watoto. Kwa mfano kuna ubaya gani mtu kukiri kuwa yeye ni msagaji? Au mtu kulia kwa mahaba? Mbona hatuoni tatizo kuimba kuwa nalia kwa mahaba? Tatizo ni kuwa hiki kitu kiko kwenye print? Vile vile sioni tatizo kuzungumzia hicho kifaa kinachofanana na utupu wa mwanaume kama vile kuzungumzia utupu wa mwanaume au mwanamke. Matatizo ya hizi false morals katika jamii yetu zinatuzuia hata kuzungumzia vitu ambavyo ni basic. Kama tunaona aibu kuzungumzia sanitary pad ( nakumbuka jinsi tangazo la Always lilivyopigwa vita), tutamfahamisha vipi binti yetu kuhusu mabadiliko katika mwili wake? kama tunaona aibu kutaja kondom na utupu wa mwanaume, tutamfundisha vipi kijana wetu namna ya kuepukana na haya magonjwa ya siku hizi?

Hivi kweli, Waberoya unaamini kuwa tusipozungumzia usagaji basi vitendo hivyo havitafanyika? Mbona Zanzibar wana ngoma ya sumsumia hata kabla ya magazeti ya udaku kuanza kutamba hapa kwetu? Mbona kwenye Chakacha ( ambako watoto wadogo hawazuiwi kuhudhuria) mashoga wamekuweko miaka nenda rudi? Tunataka kumdanganya nani kwa hizi false morals zetu?

Inawezekana, Mzee mwanakijiji alikuwa na nia nzuri lakini mfano alioutumia na maelezo yake ya baadae yanachofanya ni kumwaga petroli kwenye homophobia iliyotanda katika jamii yetu. Hiki ndicho ninachokipinga.

Amandla.....
 
Kichwa cha habari chahusika: Re: Habari za Kusagana, Ngono, na Serikali ya CCM!

What has serikali ya CCM gotta do with this article? Au ni katika kusensationalize hii habari? Kweli the article may be in poor taste as it may be viewed to be graphic, but I just wonder what "serikali ya CCM!" gotta do with this. Honestly.
 
Nakubalana na Mwanakijiji ya kua[/B] ni vema kukawa na sela kuhusu magazete hayo Wapi ya uzwe , kuanzia umrigani mtu anaruhusiwa kununu n.k.Cha kusikitisha serikali yetu au viongozi wetu wapo sio kulinda masilahi ya jamii bali masilahi yao binafsi.Watakuja juu na kuyakemea na kuyandama magazeti yale yatayofichua ufisadi na uozo wao.Magazeti yatakayo yagusa majina yao,watoto zao jamaa zao n.k.Kwa upande mwingine serikali yetu inafurahia magazeti haya ya udaku (Yasiyo wagusa wao na familia zao)Kwa sababu yanawasaidi katika kuamisha mawazo ya jamii kutoka katika kufuatilia maswala muhimu{ufisadi,rushwa na uozo mwingine katika serikali na viongozi wetu ambapogharama yake anailipia mlala hoi} Nafikiri hii ndiyo sababu kuu ya serikali kutoliona -kwa makusudi - tatizo hili na madhara yake katika jamii.Mungu ibariki tanzania


Mheshimiwa Wakili
Jaribu kukitendea HAKI kiswahili walau mara moja kwa siku....
Nice post
 
Mzee wa migebuka Mwanakijiji
Nashauri pawepo na advocacy ya kuhamasisha UMMA kuelewa madhara yaletwayo na uvutaji wa sigara ops usomwaji wa magazeti aina hii ambayo hayajavaa NGUO za kimaadili.
Wimbi la ubakaji na watu kutofuata maadili huchangiwa kwa viwango vikubwa na maelekezo yanayotoka ktk magazeti haya.
Mke wa rafiki yangu ni mwanafunzi wa Sheria ila Mumewe analalama kuwa kila kukicha anafukuzana na haya majarida hajamuona akinunua hard news kwa hiari yake hata siku moja. akija kuwa hakimu sipati picha HUKUMU zake zitakuwaje

Shigongo afilisiwe au alazimishwe kubadili muundo wa biashara maana akiambiwa abadili mwelekeo ni sawa na chura kuambiwa aishi nchi kavu ila akiyakuta maji atayaoga tu. aendelee na biashara zake za dhuluma kuwapora watu majumba na viwanja vyao labda huko atafaa sana....
 
Hapana, Mkuu. Ninachokupinga ni kuwa unajaribu ku-demonize homosexuality kwa kutumia kisingizio cha kulinda morals za minor wetu! Hiki kitendo kwangu mimi ni insidious. Ingawa unajaribu kukwepa lakini mifano yako ya kuwa homosexuals wana corruptive influence katika jamii (uki-quote wagiriki wa kale) na kuwa ni criminal act inakusuta. Unamorph homosexuality na ushoga, kitu ambacho si sahihi. Homosexuals ni wote wanaotendewa na wanaotenda wakati katika jamii yetu shoga ni yule anayetendewa tu. Huyu ndiye tunaemlaani wakati mtendaji tunamkubali! Unawashutumu mashoga na wasagaji kuwa wana corrupt minors wakati ushahidi wote ni tofauti na hapo. Maishani mwangu ni shoga mmoja tu ambae nimesikia akiwarubuni vijana. Huyu alikuwa mwalimu mmoja wa kihindi katika shule ya Tambaza. Lakini ni mara chungu mzima nimesikia habari za wale ambao wanajihesabu kuwa wanaume rijali wakiwabaka watoto wadogo wa kiume au vijana wa kiume walioonekana kuwa wana mienendo ya kike! Magazeti yetu yamejaa kesi kibao za hao wanaojihesabu kuwa heterosexuals wakiwabaka watoto wadogo lakini wewe una-insinuate kuwa ni hawa homosexuals ndiyo wanao corrupt watoto wetu?

Tofauti na unachotaka kusema, sipingi serikali kuwa na miongozo ya kitu gani kinapaswa kuwa accessible kwa minors (Teens sio lazima awe minor). Napinga aina zote za child pornography ( hetero au homo). Napinga accessibility ya hardcore na hata softcore porn kwa minors. Tofauti yangu na wewe ni kuwa kupinga kwangu hakuna maana kuwa masuala yanayohusu ngono hayana nafasi katika public arena. Naamini ni kwa kuyazungumza wazi wazi ndiyo hao minors watajifunza namna ya kuwa responsible katika behaviour yao. Sasa tuki -criminalize maneno kama kusagana, kubaka, kujichubua, dildos n.k. tunawafundishaje hawa vijana wetu athari za kuendekeza mambo haya?

Maneno aliyoyatoa Waberoya ni offensive lakini hauwezi ukayaita pornographic. Binafsi, sioni tatizo la kuyatumia mbele ya watoto. Kwa mfano kuna ubaya gani mtu kukiri kuwa yeye ni msagaji? Au mtu kulia kwa mahaba? Mbona hatuoni tatizo kuimba kuwa nalia kwa mahaba? Tatizo ni kuwa hiki kitu kiko kwenye print? Vile vile sioni tatizo kuzungumzia hicho kifaa kinachofanana na utupu wa mwanaume kama vile kuzungumzia utupu wa mwanaume au mwanamke. Matatizo ya hizi false morals katika jamii yetu zinatuzuia hata kuzungumzia vitu ambavyo ni basic. Kama tunaona aibu kuzungumzia sanitary pad ( nakumbuka jinsi tangazo la Always lilivyopigwa vita), tutamfahamisha vipi binti yetu kuhusu mabadiliko katika mwili wake? kama tunaona aibu kutaja kondom na utupu wa mwanaume, tutamfundisha vipi kijana wetu namna ya kuepukana na haya magonjwa ya siku hizi?

Hivi kweli, Waberoya unaamini kuwa tusipozungumzia usagaji basi vitendo hivyo havitafanyika? Mbona Zanzibar wana ngoma ya sumsumia hata kabla ya magazeti ya udaku kuanza kutamba hapa kwetu? Mbona kwenye Chakacha ( ambako watoto wadogo hawazuiwi kuhudhuria) mashoga wamekuweko miaka nenda rudi? Tunataka kumdanganya nani kwa hizi false morals zetu?

Inawezekana, Mzee mwanakijiji alikuwa na nia nzuri lakini mfano alioutumia na maelezo yake ya baadae yanachofanya ni kumwaga petroli kwenye homophobia iliyotanda katika jamii yetu. Hiki ndicho ninachokipinga.

Amandla.....

Simple test!

Mwambie mtoto akusomee hiyo habari au wewe usome mbele ya watoto. Au let say na utu uzima huu, mazi wako anakueleza kuhusu hii habari! aibu!

FM there is no simple words or any justification ya kuwaita kwa lugha nzuri sana na ya kupendeza hao homosexual, mashoga na wanaofanana na hao! hakuna uyunani au ugiriki hizo zote ni lugha tu, katika jamii yetu hawa ni wahalifu tu, kwa kizungu ni criminals kama kuna wahalifu wa wa aina mbalimbali basi hawa ni wahalifu wa uumbaji halisi wa Mungu, wahalifu wa tabia njema, wahalifu tu, name them whatever you can!


Tukirudi kwenye maada , FM

Gazeti hilo halijaeleza hiyo taarifa kama linafundisha au linaonya jamii kuhusu usagaji! aidha linapromote hiyo tabia.

Hakuna tatizo kuwafundisha watoto wako hayo mambo na kuwapa uchaguzi waamue ni njia gani waende! ninachosema ni kuwa JE NI WATOTO WA UMRI GANI?? magazeti haya yako accessible kila sehemu! na unapoongelea haya mambo , kitu gani kimetokea katika jamii mpaka muanze kuongelea haya mambo?? kuna tatizo sehemu fulani.

Tukianza na haya tena, next time watakuja watu wa haki za binadamu na kusema kusagana ni haki, kuoana wanaume ni haki

FYI

Canada, watoto wanafundishwa kuna familia za aina tano

1. Father and mother
2.Single mother
3. Single father
4.Mother-mother
5.Father-father

na unaruhusiwa kuishi utakavyo! kama unasema utamfundisha mtoto wako kuwa KUSAGANA NI MAKOSA , BADO KUNA MAENEO MENGINE NI HAKI YA BINADAMU KUAMUA AISHIVYO!

TUKIANZA KUROPOKA HAYA, BASI TUKUBALI YANAYOKUJA, akitokea mtu wa tabia tofauti na tulizokulia jamii imuonye papo hapo kwa ukali na kuwatisha wengine kujiingiza katika dimbwi hili, unaposema tuongelee hakusaidii mtu wangu, mabinti na vijana walio kwenye hali za mihemko they will practise! believe me.

In short ,I rather be conservative in moral behavior than allowing issue that I can not handle, DUNIA YA TATU TUKIRUHUSU UZUNGU HUU, TUMEKWISHA!

Do not get confused here! Siongelei UKIMWI ninaweza kumpeleka mtoto hospitalini aone wagonjwa wa ukimwi, naweza kuongelea ukimwi kwa mifano na watoto wakanielewa. UNAPOSEMA UWAELEZE WATOTO KUWA KUSAGANA NI KUBAYA, HUKU KUNA MTU ANASEMA ANALALAMIKA KWA SAUTI ZA MAHABA!!!!!! hawatakuelewa dawa yake stop let watu wazima wakiona haya mambo wanachukua action hapo hapo, kama vile unaua chawa kila anapoonekana na dawa siyo kila mtu ajue kuwa una chawa!
 
mtoto wangu wa kike baada ya kusoma gazeti hili ambapo kichwa hicho cha habari kipo ukurasa wa mbele kauliza "Baba kusagana ndiyo nini"?..

My friend, the story has kwazad me much. Tutaruhusiwa kweli kuwalea watoto wetu tupendavyo na kuwafundisha kwa kadiri tunavyopima muda wa kuwaambia mambo fulani? Au wanataka kutulazimisha tuwakataze kutuuliza uliza maswali ya kipuuzi ili watu wengine "wawafunze"?

Ulitakiwa umwambie ukweli. Hukuhitaji kukwazika. Dunia hii ni uwazi mtupu na huwezi kuzuia info nyumbani kwako kwa mtoto wako wakati anapata the same mitaani au shuleni. Daima mpe ukweli na mwelekeze njia sahihi. Daima fanya hivyo kwa mtoto wako. Hutajilaumu.
 
FM there is no simple words or any justification ya kuwaita kwa lugha nzuri sana na ya kupendeza hao homosexual, mashoga na wanaofanana na hao! hakuna uyunani au ugiriki hizo zote ni lugha tu, katika jamii yetu hawa ni wahalifu tu, kwa kizungu ni criminals kama kuna wahalifu wa wa aina mbalimbali basi hawa ni wahalifu wa uumbaji halisi wa Mungu, wahalifu wa tabia njema, wahalifu tu, name them whatever you can!

Hii ndiyo homophobia ninayozungumzia!

TUKIANZA KUROPOKA HAYA, BASI TUKUBALI YANAYOKUJA, akitokea mtu wa tabia tofauti na tulizokulia jamii imuonye papo hapo kwa ukali na kuwatisha wengine kujiingiza katika dimbwi hili, unaposema tuongelee hakusaidii mtu wangu, mabinti na vijana walio kwenye hali za mihemko they will practise! believe me.

Hapa ndipo ninapoishiwa nguvu. Yaani kweli unaamini kuwa tusipoyazungumzia hawata-practise? Unafanya mas'hara na hormones? Hata kabla ya haya magazeti kuwepo, katika boarding schools za jinsia moja mambo haya yalikuwa yakiendelea. Kukataa kuyazungumzia ni kuwa kama ostrich. Hii self delusion imetufikisha mahali ambapo afisa wa magereza anadiriki kudai kuwa haya mambo hayafanyiki katika jela zao.

Badala ya kuona aibu mtoto wako anapokuuliza maana ya kusagana si vyema ukamweleza maana yake kwa lugha inayoendana na umri wake? Kama hiyo habari ingekuwa graphic kama mnavyodai, kwa nini basi huyo kijana aje akuulize maana ya kitendo hicho? Si angeelewa tu kutokana na yale yaliyoandikwa?

Hatari ya mitazamo kama yenu ni kuwa mnawaachia watoto wajifunze baina yao bila nyinyi wazazi kushiriki. Huo uafrika mnaojidai kuutetea ulikuwa na institutions zilizokuwa zikitoa haya mafundisho. Kulikuwa na watu katika jamii ambao walikuwa wanaelezea. Katika baadhi ya makabila hata zana kama hizi zilizozungumziwa hapa zilitumiwa katika kufundisha. Huu uafrika mnaouzungumzia ni a distorted version ya hizi dini za kuletwa. Na ninasema hivi ikiwa mimi najihesabu kuwa mmisheni!


Do not get confused here! Siongelei UKIMWI ninaweza kumpeleka mtoto hospitalini aone wagonjwa wa ukimwi, naweza kuongelea ukimwi kwa mifano na watoto wakanielewa.

Ni mifano gani utakoyomzungumzia mtoto wako kuhusu ukimwi bila kutaja kujamiana? Neno unalotaka lipigwe marufuku?

Amandla........
 
Kwa kweli inasikitisha sana - WAANDISHI WA MAGAZETI - inabidi waandike habari ambayo inamfaa mwenye kusoma - kumsaidia - kumwelimisha - kumwezesha achukue hatua nyingine katika fikra zake kujiendeleza kimaisha. Lakini mwandishi anapoandika habari za KUSAGANA na alivyofanikiwa KUPATA NA KUONA habari hiyo - anatufundisha nini Jamii ya Kitanzania?

Tukiingia katika SPIRITUAL REALM - ndiyo tunajua kuwa KUNA FALME MBILI zinatawala ulimwenguni - UFALME WA MUNGU na UFALME WA SHETANI (IBILISI) kila FALME ina watenda kazi wake - WANAOFURAHIA MATENDO MABAYA, MANENO MACHAFU, UFISADI, NGONO, WIZI, UJAMBAZI, UONEVU, UKANDAMIZAJI, UBINAFSI WA KUTAMANI KUCHUKUA RASLIMALI TULIZOPEWA ZOTE NA MUNGU, UCHAWI, USHIRIKINA HADI KUUA WANADAMU WENZAO WAPATE UTAJIRI, KUJILIMBIKIZIA MALI HALI WENGINE WANALALA NJAA ..... (THE LIST IS LONG) ndio AGENTS WA IBILISI - na WAADILIFU, WACHA MUNGU WA KWELI, WANAOHUBIRI HABARI ZA UPENDO, HOFU YA MUNGU ETC ndio AGENTS WA MUNGU - usishangae katika UFALME WA MUNGU AGENTS WA IBILISI WAMEJIINGIZA PIA - ndio VITA iliyopo -
WAZAZI/JAMII - ni wakati wa kuelimisha watoto wetu bila kuwaficha UBAYA WA DHAMBI NA DHAMBI NI NINI ... ili wayaonapo wasiguse, wasishangae etc. HAYA MAMBO YAPO SANA HATA KWA WATOTO MASHULENI - ESPECIALLY BOARDING SCHOOLS ETC. LAKINI WANA HABARI WANAPOYAPIGIA DEBE MH! NI WATUMISHI WA IBILISI PER SE.... EE MUNGU DUNIA INAYUMBA KUONYESHA IMEFIKIA MWISHO - HERI WATAKAOSHINDA VISHAWISHI VYA IBILISI .......
 
Huu uafrika mnaouzungumzia ni a distorted version ya hizi dini za kuletwa. Na ninasema hivi ikiwa mimi najihesabu kuwa mmisheni!
Haswa hili ndilo neno maana kuna mkanganyiko wa nini cha kiafrika na nani muafrika, wakirejea historia mambo haya yalizungumzwa katika taasisi za kijamii husika. Kusema kuyakalia kimya mambo haya ni desturi za kiafrika ni upotoshaji na kubeza mila adhimu za kiafrika.
 
Ni mifano gani utakoyomzungumzia mtoto wako kuhusu ukimwi bila kutaja kujamiana? Neno unalotaka lipigwe marufuku?

Amandla........

Naona hatuelewani kaka, umeshaweka layer ya unachoamini na hutaki jipya, hata kama linafanana na lako ilakwa stayle tofauti. Nimefurahi at least kumwona mtanzania ambaye yuko tayari kuongea na watoto wake kuhusu Lesbian na gay issues.

I bet, next time wakija wanataka wawe mashoga na wasagaji , kindly wapokee na wakubali, maana hakuna athari za usagaji na ushoga, you know what they will tell you? HAKI ZA BINADAMU

thats why solution is never talk about it, ukisikia ni adhabu kwa kwend mbele! ukiruhusu waongee ongee na discussion ziendelee thn, unawapa mwanga zaidi wa kuwa convinced na akina Maureen!

naona tuko boti tofauti mkuu!

EBU NIKUULIZE SWALI MKUU, NAONA UNASEMA USHOGA NA USAGAJI NI M'BAYA KATIKA JAMII, nijibu tu hili swali then kutoka hapo tutaanza discussion mpya

NINI ATHARI ZA USAGAJI NA USHOGA KATIKA JAMII??
 
Naona hatuelewani kaka, umeshaweka layer ya unachoamini na hutaki jipya, hata kama linafanana na lako ilakwa stayle tofauti. Nimefurahi at least kumwona mtanzania ambaye yuko tayari kuongea na watoto wake kuhusu Lesbian na gay issues.

I bet, next time wakija wanataka wawe mashoga na wasagaji , kindly wapokee na wakubali, maana hakuna athari za usagaji na ushoga, you know what they will tell you? HAKI ZA BINADAMU

thats why solution is never talk about it, ukisikia ni adhabu kwa kwend mbele! ukiruhusu waongee ongee na discussion ziendelee thn, unawapa mwanga zaidi wa kuwa convinced na akina Maureen!

naona tuko boti tofauti mkuu!

EBU NIKUULIZE SWALI MKUU, NAONA UNASEMA USHOGA NA USAGAJI NI M'BAYA KATIKA JAMII, nijibu tu hili swali then kutoka hapo tutaanza discussion mpya

NINI ATHARI ZA USAGAJI NA USHOGA KATIKA JAMII??

Uko sahihi kuwa tuko boti tofauti. Wewe unaona homosexuality ni evil wakati mimi sioni hivyo. Sitakuja kumkataa/kumkana mtoto,ndugu au rafiki yangu ati kwa sababu yeye ni lesbian au shoga. Mapenzi yangu kwao hayatabadilishwa na sexual orientation yao. Hivi wewe wakikuambia hivyo utawafanya nini?

Kama kuna mahali nilisema kuna athari ya homosexuality katika jamii basi niliteleza. Read my lips; HAKUNA ATHARI YA HOMOSEXUALITY KATIKA JAMII KAMA VILE ILIVYO KWA HETEROSEXUALITY.

On the contrary, heterosexuals ndiyo wanaoongoza kwa kufanya vitendo vinavyodhuru jamii. Ni mara ngapi umesikia shoga amembaka mtoto mdogo? lakini mbona kila kukicha tunasikia heterosexuals wanakamatwa kwa kubaka watoto wadogo lakini hatuwalaumu kuwa wanafanya hivyo kutokana na sexual orientation yao?

Sasa wewe niambie jamii inaathirika vipi kutokana na vitendo vya homosexuals waliokubaliana na wana umri wa kufanya maauzi hayo?

Hauoni kuwa kwa ku-criminalize homosexuality ndiyo tumefungua mipaka ya wao kufanyiwa kila aina ya unyama bila ya kuwa na namna yeyote ya kujitetea. Watoto wetu wanapobakwa na waliowazidi umri wanashindwa kuwashitaki kutokana na stigma inayoendana na kitendo hicho! Kutokana na imani hii tumetoa carte blanche kwawatu waovu kuwatendea unyama vijana wale ambao wanaonekana ati wana vitendo vya kike. Hili wewe huoni ni tatizo bali huyo Maureen aliyeamua mwenyewe kwenda kwa mwenzake kujistarehesha! Iko kazi.

Amandla..........
 
On the contrary, heterosexuals ndiyo wanaoongoza kwa kufanya vitendo vinavyodhuru jamii.
Do you have empirical evidence to support your claim?
Ni mara ngapi umesikia shoga amembaka mtoto mdogo?
Kwako shoga ni yupi? Anayemega mwanamme mwenzake au anayemegwa na mwanamme mwenzake?
lakini mbona kila kukicha tunasikia heterosexuals wanakamatwa kwa kubaka watoto wadogo lakini hatuwalaumu kuwa wanafanya hivyo kutokana na sexual orientation yao?
Ndio maana nikauliza hapo juu, homosexual ni yupi? Sasa kama wahalifu wanapokamatwa hatuambiwi mwelekeo wao wa kijinsia ukoje nini kinachokufanya udhanie kila mbakaji wa watoto wadogo ni "heterosexual"?
 
Homosexuality is wrong and intrinsically disordered. It is wrong from a philosophical point of view; it is wrong from biological point of view; it is wrong from physiological point of view, and indeed from judeo-islamic and christian theology it is simply wrong. Even more, from African cultural view it is wrong.

Is it evil? I don't believe it is evil in a sense of hurtful to the innocents or to someone who practices it. I believe however, homosexuality is morally wrong as it poses the greatest threat to traditional and natural family life. It is a product of counter culture, and can not be promoted as an alternate lifestyle. it is not.

Even more, homosexuality is unnatural; it is not how nature has intended. Just like other behaviours or human orientantions that are unnatural, homosexuality functions on pleasure principle. That is, human beings will always repeat those things that give them pleasure and avoid the things that causes them pain. Therefore, homosexuality causes pleasure to people just like heterosexuality does.

To me, that is the only valid argument for homosexuality among consenting and unrelated adults. It is only for that reason, our society probably will have to decriminalize homosexual acts simply because to those engaged in them do not suffer pain.

However, that is far from claiming that homosexuality is not wrong or it is not harmful to society or to family life.

But, acknowledging the disorderly nature of homosexual acts we are faced with a complex question. Should homosexual couples enjoy the same marital rights as that enjoyed by heterosexual couples? Should we descriminate against people who have have decided to live in homosexual partnership simple due to their homosexuality?

My quick answer is NO; we can not reduce people to their sexuality. Human beings are are complex, fundamentally endowed with many talents and abilities, and homosexuals like other human beings long for security, sense of belonging, acceptance, and understanding of their humanity.

As a matter of fact, I believe if Tanzanians were to take the declarations from our constitution that "kila mtu ana haki ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake" I believe that statement alone is good enough to cause the total decriminalizing of homosexuality in Tanzania. It is the most audacious, bold, and totally lliberal statement.

However, I don't see our country moving towards such kind of liberal world view. Our approach I believe should have been that of pragmatism. We should let the people decided what should be accepted or not accepted without infringing without due cause the rights or minority groups. It is a very delicate act to balance.
 
NN. Katika jamii yetu shoga ni yule aliye submissive. Wale ambao wanawatumia wenzao hata siku moja hawaitwi mashoga. Ndiyo maana vijana wanaona sifa kuvizia walevi wakianguka ili wawatumie. Wao wanaona kufanya hivyo ni u-macho. Kwa hali hiyo hao wote wanaowabaka watoto wadogo wa kiume hawahesabiwi kama gay bali heterosexuals. Go figure!

Amandla......
 
Back
Top Bottom