Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 4,820
- 8,886
Hivi kwa nini sisi waafrika tunapenda sana theories za maadili wakati kiukweli hayo maadili hatuyajui na wala hatuna? Ukipita hutakosa kusikia "huo sio utamaduni wa mtanzania" au "huyo siyo mtanzania kwa sababu kafanya hivi au vile" Sasa unajiuliza utamaduni wa mwafrika au MTZ ni upi? kuiba? uzembe? upendo? .....wakati watu wanaiba ilhali mamilioni ya wenzao wanateketea kwa magonjwa na umasikini?.
Mfano mdogo: Neno ngono kuna watu mpaka leo wanapinga lisiongelewe hadharani..na hata ukienda kwenye luninga ukaliongelea..wanaharakati watakwambia unaharibu maadili ya watoto...harafu angalie maambukizo ya HIV kwetu sisi..especially vijana wa miaka 20-30... yako juu kuliko huko Ulaya na kwingineko ambako Ngono ni neno la kawaida..wenzetu ngono inaonyeshwa mpaka kwenye luninga.. watu wataangalia, watafanya watakalo....kwa assumptions zetu..hawa watu ingebidi wafe kwa UKIMWI zaidi kuliko sisi! Je kwa nini sisi ndo tunaathirika zaidi? does it mean sisi tunapenda ngono kuliko viumbe wowote duniani?
Maoni yangu: Transparency, transparency imetushinda. Hata kama ni ngono..waache watu waiongelee, waisome, waifanye..watajua madhara yake wenyewe. Kama ni mzazi kaa na mwanao..mpe elimu ya mahusiano kadri uwezavyo. Utakuwa umemsaidia zaidi ya ufikiriavyo. Tusitake kujifanya kwamba kuna mtu aliye superior mwenye moral standards ambazo wote inabidi tufuate. Nani huyo show me that person. Tuache kujificha kwenye vivuli vya maadili wakati tunateketea. Wasaganaji wapo wengi tuu. Unless niambiwe kwamba sisi huo usagaji ni tabia za wazungu..kwetu hakuna! Hivi tukiwakubali kama parti ya jamii..ilmradi wanafuata sheria za nchi..lipi tatizo? Tusitake kuchanganya IMANI zetu na MAISHA ya wengine. Tatizo hatutofautishi imani na sheria!
Mfano mimi kama Mkatoliki-mseminari, I can never allow a guy bishop or priest to administer a sermon to me. True, true, true. Lakini kama mtanzania na raia wa kawaida..sina shida na Pinda kuwa guy au yeyote yule..as long as anatekeleza wajibu wake kama sheria ya nchi inavyomtaka. I can not impose my moral values on others. Kitu ambacho ndo waafrika wengi tunapenda.
Hiyo picha sioni tatizo lake..infact mwanakijiji kama mwanao kauuliza..ingebidi ukae naye chini. Umpe darasa makini sana. Umpe madhara unayoyaona kama mzazi na kwa sababu ni mwanao..umwambie kipi anastahili kufanya. Lakini ukijificha chini ya kivuli cha maadili..atakuja kujifunza baadaye wewe haupo..na madhara yake unaweza usiyapende.
Kinachonisikitisha ni kwamba..waafrika bado tunaamini kwamba.."wakubwa" zetu ndo wa kutuonyesha njia..ndo wana moral standards ambazo tunastahili kufuata..lakini. surely, mtu kama Lowasa au Chenge..na madhambi yao yote..can I ever trust what they tell me, however genuine it might be?
Tujitahidi kuwa wawazi na yale tunayoyaogopa. Hata serikali inayoendeshwa kwa uwazi nadhani mtaona tofauti yake na ile serikali inayofanya kila kitu kwa usiri mkubwa kama za kwetu Africa.
Mfano mdogo: Neno ngono kuna watu mpaka leo wanapinga lisiongelewe hadharani..na hata ukienda kwenye luninga ukaliongelea..wanaharakati watakwambia unaharibu maadili ya watoto...harafu angalie maambukizo ya HIV kwetu sisi..especially vijana wa miaka 20-30... yako juu kuliko huko Ulaya na kwingineko ambako Ngono ni neno la kawaida..wenzetu ngono inaonyeshwa mpaka kwenye luninga.. watu wataangalia, watafanya watakalo....kwa assumptions zetu..hawa watu ingebidi wafe kwa UKIMWI zaidi kuliko sisi! Je kwa nini sisi ndo tunaathirika zaidi? does it mean sisi tunapenda ngono kuliko viumbe wowote duniani?
Maoni yangu: Transparency, transparency imetushinda. Hata kama ni ngono..waache watu waiongelee, waisome, waifanye..watajua madhara yake wenyewe. Kama ni mzazi kaa na mwanao..mpe elimu ya mahusiano kadri uwezavyo. Utakuwa umemsaidia zaidi ya ufikiriavyo. Tusitake kujifanya kwamba kuna mtu aliye superior mwenye moral standards ambazo wote inabidi tufuate. Nani huyo show me that person. Tuache kujificha kwenye vivuli vya maadili wakati tunateketea. Wasaganaji wapo wengi tuu. Unless niambiwe kwamba sisi huo usagaji ni tabia za wazungu..kwetu hakuna! Hivi tukiwakubali kama parti ya jamii..ilmradi wanafuata sheria za nchi..lipi tatizo? Tusitake kuchanganya IMANI zetu na MAISHA ya wengine. Tatizo hatutofautishi imani na sheria!
Mfano mimi kama Mkatoliki-mseminari, I can never allow a guy bishop or priest to administer a sermon to me. True, true, true. Lakini kama mtanzania na raia wa kawaida..sina shida na Pinda kuwa guy au yeyote yule..as long as anatekeleza wajibu wake kama sheria ya nchi inavyomtaka. I can not impose my moral values on others. Kitu ambacho ndo waafrika wengi tunapenda.
Hiyo picha sioni tatizo lake..infact mwanakijiji kama mwanao kauuliza..ingebidi ukae naye chini. Umpe darasa makini sana. Umpe madhara unayoyaona kama mzazi na kwa sababu ni mwanao..umwambie kipi anastahili kufanya. Lakini ukijificha chini ya kivuli cha maadili..atakuja kujifunza baadaye wewe haupo..na madhara yake unaweza usiyapende.
Kinachonisikitisha ni kwamba..waafrika bado tunaamini kwamba.."wakubwa" zetu ndo wa kutuonyesha njia..ndo wana moral standards ambazo tunastahili kufuata..lakini. surely, mtu kama Lowasa au Chenge..na madhambi yao yote..can I ever trust what they tell me, however genuine it might be?
Tujitahidi kuwa wawazi na yale tunayoyaogopa. Hata serikali inayoendeshwa kwa uwazi nadhani mtaona tofauti yake na ile serikali inayofanya kila kitu kwa usiri mkubwa kama za kwetu Africa.