Ngigana
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 2,102
- 1,436
Master plan wa CCM anaondoka ? Kama CCM hawajaandaa mbadala wake its better wamuombe aendelee najua wachache sana watanielewa .
Mkuu, Waziri Nape nadhani anafaa kama strategist wa chama!
Master plan wa CCM anaondoka ? Kama CCM hawajaandaa mbadala wake its better wamuombe aendelee najua wachache sana watanielewa .
Uwezi elewa ni bora unyamazeSystem inafanya kazi za kipuuz hivi sikuhiz?
kwa wenzako ni uzushi na je kama ni kweli.Huu ni uzushi toka mtaa wa ufipa
Nyara za serikaliItakuwa vema magu akimpangia kazi nyingine hasa mkuu wa bodi ya wakurugenz TANAPA
Tupe ukweli lizaboni. USISAHAU NITAKUANDIKIA INBOX, NITAKUWA SONGEA KUANZIA TAREHE 25.Huu ni uzushi toka mtaa wa ufipa
Mkuu utapata ugonjwa wa moyo huu mchezo hautaji mizuka.Vuta pumzi ndefu ndani halafu toa nje kwa speed hiyo hiyo mara 3.Zingatia ushauriHuu ni uzushi toka mtaa wa ufipa
Aliondoka yule master planner wa kuchakachua kura (Mzee Chizi aliyehamia CDM na Lowasa) lakini haikuleta athari. Hivyo hata Kinana akipumzika watapatikana maplanner wengine.[/QUOTEMaster planner alieshindwa kuplan jinsi atakavyokatwa.
Siku Mbowe anajiuzulu, ama Lipumba anaamua kuachana na CUF moja kwa moja, na siku Maalim seif akiachana na kugombea urais Zanzibar, natembea kwa miguu mpaka urusi na kurudi...Itakuwa vema magu akimpangia kazi nyingine hasa mkuu wa bodi ya wakurugenz TANAPA
Anatarajia kanafasi katika chama ndo maana anabwabwaja hata ya uongo dada wa watu na hii Zaidi baada ya kusikia mkulu kaya anasomaga mitandao ya jamii. Muacheni atetee maslahi ya tumbo lake. Usishangae kesho na keshokutwa akaja na uzi hapa kuwa kinana msaliti. Huyo Lizaboni ni mropokoji asiyeweza kabisa kuficha dhamira yake ya tamaa ya cheo. Na hawa ndio vijana wetu wa kujenga taifa. MsibaLabda kapewa kazi ya usemaji wa ccm
Ameanza kuisoma nambaNikiwa ndiyo nakimalizia kukisikilizia kipindi cha morning magic, nimesikia wakitangaza kwa ufupi mnoo kuwa Kinana ameandika barua ya kujiuzulu.
Mwenye taarifa zaidi.... Kipi kilichopelekea mpk kuomba kujiuzulu..
Karibu tujadili.
ASAVALINikiwa ndiyo nakimalizia kukisikilizia kipindi cha morning magic, nimesikia wakitangaza kwa ufupi mnoo kuwa Kinana ameandika barua ya kujiuzulu.
Mwenye taarifa zaidi.... Kipi kilichopelekea mpk kuomba kujiuzulu..
Karibu tujadili.
Katiba ya ccm hiyo ibara ya ngapi.....na kifungu kipi tukasomr au ni zile sheria za kitamadunindio utaratibu wa chama. Katibu mkuu anaandika barua ya kujiudhuru kwa niamba ya viongozi wote ili kumpa mwenyekiti mpya kupendekeza atakaofanya nao kazi. NI KWAHERI TU NA SIO KWASHARI.