Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,618
- 154,956
Nasikia hawa wauza magari ni wazugaji tu.
wanafanya biashara nyingine tofauti kabisa zenye mitandao Brazil na Pakistan.
Magari wanayatumia kama geresha tu.
Kuna show room moja wanauza magari bei kubwa sana, yaani Duet model ya mwaka 1999 inauzwa 10.m, hii nasikia ni moja ya mbinu yao ya kudiscourage wanunuzi ili waendelee kujificha chini ya kivuli cha uuzaji magari huku wakiwa wanauza PODA
wanafanya biashara nyingine tofauti kabisa zenye mitandao Brazil na Pakistan.
Magari wanayatumia kama geresha tu.
Kuna show room moja wanauza magari bei kubwa sana, yaani Duet model ya mwaka 1999 inauzwa 10.m, hii nasikia ni moja ya mbinu yao ya kudiscourage wanunuzi ili waendelee kujificha chini ya kivuli cha uuzaji magari huku wakiwa wanauza PODA