Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 6,706
- 12,446
Nasikiliza Clouds FM now, bwana harusi kwa jina Kaizary asema kuhusu hizo picha ni uongo na ni photoshop na yule mwanamke wa kwenye zile picha si mke wake bi Susan.
Kesi iko police na wahusika kuanza kusakwa.
Kesi iko police na wahusika kuanza kusakwa.