Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,888
- 143,985
Nakumbuka siku chache zilizopita gazeti la Mwananchi liliandika habari kuhusu kufanyika kwa uchaguzi mdogo wa madiwani katika kata 21 nchi nzima kujaza nafasi za madiwani 22 pamoja na uchaguzi wa mbunge wa Jimbo la Dimani kwa upande wa Zanzibar.
Kwa mujibu wa Mwananchi,kampeni hizo zilikuwa zimepangwa kuanza tarehe 22 mwezi huu mpaka tarehe 21 mwezi January mwakani.
Swali langu ni je,uchaguzi huu mdogo umeahirishwa au ni ratiba imebadilika?
Waandishi tusaidieni kupata majibu.
Habari husika isome kupitia link ifuatayo:
Kampeni za uchaguzi mdogo wa ubunge na udiwani kuanza December 22
Kwa mujibu wa Mwananchi,kampeni hizo zilikuwa zimepangwa kuanza tarehe 22 mwezi huu mpaka tarehe 21 mwezi January mwakani.
Swali langu ni je,uchaguzi huu mdogo umeahirishwa au ni ratiba imebadilika?
Waandishi tusaidieni kupata majibu.
Habari husika isome kupitia link ifuatayo:
Kampeni za uchaguzi mdogo wa ubunge na udiwani kuanza December 22