mnyikungu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2009
- 1,960
- 2,464
habari wadau!
hakuna mwaka ambao unaongoza kwa uzushi kwenye mitandao na vyombo vya habari kama huu mwaka wa 2016, baada ya dangote na Raisi Magufuli kukutana, Dangote alisema anampango wa kuleta magari 600 na mengine baadhi ya hayo yameshafika,aliongea kwa uwazi kabisa lakini ghafla kwenye mitando hasa humu jamii forum wakaja na thread eti magari 600 ya dangote yameshafika na mpaka wakaleta na picha za mameli na magari kuthibitisha kuwa magari mia sita yameshafika, inamaana wanajua zaidi kuliko mwenye nayo....na habari yenyewe imekuzwa utafikiri ni ukweli...wakati mwenyewe anasema first batch ndo imefika na baada ya Christmas magari yote yatakuwa yamewasili....sasa mtu ghafla eti magari mia sita ya dangote yawasili......jamani!!
hivi kwanini huu mwaka umekuwa wa kizushi hivi, si selikali si watu binafsi yaani ni uzushi uzushi tu, mwaka huu tumelishana matango pori kibao, ingekuwa uzushi ni sumu na ukikufikia na ukauamini unakufa wengi wangekufa.
hakuna mwaka ambao unaongoza kwa uzushi kwenye mitandao na vyombo vya habari kama huu mwaka wa 2016, baada ya dangote na Raisi Magufuli kukutana, Dangote alisema anampango wa kuleta magari 600 na mengine baadhi ya hayo yameshafika,aliongea kwa uwazi kabisa lakini ghafla kwenye mitando hasa humu jamii forum wakaja na thread eti magari 600 ya dangote yameshafika na mpaka wakaleta na picha za mameli na magari kuthibitisha kuwa magari mia sita yameshafika, inamaana wanajua zaidi kuliko mwenye nayo....na habari yenyewe imekuzwa utafikiri ni ukweli...wakati mwenyewe anasema first batch ndo imefika na baada ya Christmas magari yote yatakuwa yamewasili....sasa mtu ghafla eti magari mia sita ya dangote yawasili......jamani!!
hivi kwanini huu mwaka umekuwa wa kizushi hivi, si selikali si watu binafsi yaani ni uzushi uzushi tu, mwaka huu tumelishana matango pori kibao, ingekuwa uzushi ni sumu na ukikufikia na ukauamini unakufa wengi wangekufa.