Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,987
- 144,319
Katika pita pita yangu mitandaoni muda mfupi uliopita, nimekutana na hii habari isiyo rasmi kutoka kwa mtumiaji mmoja wa mtandao wa twitter kuwa kuna mpango wa kuanzisha Bank ya aina hiyo hapa nchini.
Swali: Iwapo habari hii ni ya kweli, nini zitakuwa faida na hasara zake kwa sekta ya mabenki hapa nchini iwapo benki hii kweli itaanzishwa na kuwa ni benki ya serikal?
Je, wananchi watafaidika kupitia benki hii huku mabenki binafsi yakiathirika?
Au mabenki binafsi yatajiongeza kiushandani na hivyo kumfanya mwananchi ndio afaidike?
Au benki binafsi zitayumba na kuondoa ushindani hivyo kutotoa nafuu yoyote kwa mwananchi?
Na kama ni kweli benkii hiii itaanzishwa,serikali itamudu kuiendesha kwa faida?
Kama kweli mpango huu upo,je unapendekeza benki iendeshwe vipi?
Benki hii iendeshwe na kumilikiwa na serikali kwa asilimia 100 au iendeshwe kwa ubia na mabenki binafsi?
Tutoe maoni yetu yanayoweza kusaidia namna bora ya uanzishwaji wa benki hiyo kama kweli mpango huo upo,
Vile vile kama yupo anaeweza kututhibitisha habari hii, basi afanye hivyo.
Swali: Iwapo habari hii ni ya kweli, nini zitakuwa faida na hasara zake kwa sekta ya mabenki hapa nchini iwapo benki hii kweli itaanzishwa na kuwa ni benki ya serikal?
Je, wananchi watafaidika kupitia benki hii huku mabenki binafsi yakiathirika?
Au mabenki binafsi yatajiongeza kiushandani na hivyo kumfanya mwananchi ndio afaidike?
Au benki binafsi zitayumba na kuondoa ushindani hivyo kutotoa nafuu yoyote kwa mwananchi?
Na kama ni kweli benkii hiii itaanzishwa,serikali itamudu kuiendesha kwa faida?
Kama kweli mpango huu upo,je unapendekeza benki iendeshwe vipi?
Benki hii iendeshwe na kumilikiwa na serikali kwa asilimia 100 au iendeshwe kwa ubia na mabenki binafsi?
Tutoe maoni yetu yanayoweza kusaidia namna bora ya uanzishwaji wa benki hiyo kama kweli mpango huo upo,
Vile vile kama yupo anaeweza kututhibitisha habari hii, basi afanye hivyo.