0764343648 New Member Apr 21, 2017 3 1 Jun 12, 2017 #1 Jmn ni ugonjwa upi wa kurithi ambao mtu akiwa nao mnashauriwa kutooana,kwa nia ya kuepuka kuzaa viumbe wa mungu wakateseka,
Jmn ni ugonjwa upi wa kurithi ambao mtu akiwa nao mnashauriwa kutooana,kwa nia ya kuepuka kuzaa viumbe wa mungu wakateseka,
God'sBeliever JF-Expert Member Sep 1, 2015 5,790 3,020 Jun 12, 2017 #2 Nenda JF Doctor. Kuna ugonjwa flan iv wa damu ni hatar san
DMCT JF-Expert Member Apr 25, 2015 2,276 5,929 Jun 12, 2017 #3 Ni ugonjwa wa tamaa ya pesa kwa wanawake
Perfectz JF-Expert Member May 17, 2017 8,844 27,550 Jun 12, 2017 #8 NGOJA WAJE WAHENGA WA JAMII FORUMS