Habari ya Dr. Shika Daily News: Dear Daily News, you are a broadsheet and not a tabloid!, habari za udaku, umbeya na udhalilishaji waachieni Tabloids!

Pascal Mayalla,

Huyu Dr. Shika ana dalili zote za ugonjwa na mgonjwa hatakiwi kudhihakiwa bali anahitaji huruma ya kutafutiwa matibabu stahiki.

Tanzania ya awamu hii ya CCM imekosa utu na ndiyo tunaona vyombo vya habari kushabikia ugonjwa au maumivu ya majeraha ya mgonjwa.

Hili la Daily News badala ya kumtafutia msaada wa kitabibu uwe kumpeleka kwa wataalamu wa afya ya ubongo, counselling / ushauri nasaha n.k wao wanashangilia mgonjwa kuwa homeless n.k

Hili saga la Dr. Louis Shika mpaka sasa mbali ya kuhojiwa na vyombo kibao vya habari sijapata kuona wakitafuta positive side ya vitu alivyopata kufanikiwa kufanya zaidi ya mahojiano ya kumdhalilisha mtu anayehitaji msaada.

Naamini kuna wakati mwingine Dk. Shika hali yake inakuwa murua kiafya ya ubongo na hapo vyombo hivi vya habari wangetuletea habari chanya za mapito yake kielimu n.k badala ya kuvizia akiwa hana utimamu wa afya ndiyo wanafanya mahojiano naye.

Hii inaonesha kuna mapungufu katika weledi wa wanahabari na sehemu kubwa ya jamii ya kitanzania kuhusu magonjwa na vipi au wakati gani wamhoji mgeni wao ili wapate upande chanya wa mapito ya watu kama kina Dr. Shika.

Bora haya mahojiano yana chembe ya utu kujua matatizo ya Dr. Shika kiafya:
Balozi Patrich Chokala juu ya Dr. Louis Shika
 
31 Oct 2019
Part 01: Dk Shika kutoka 'ubilionea' hadi kulala kituo cha daladala
Mtanzania aliyekuwa akiishi Urusi, Dk Louis Shika aliyepata umaarufu kupitia uuzwaji wa nyumba za mfanyabiashara, Said Lugumi amefanya mazungumzo maalum na Daily News Digital pamoja na Daily News juu ya maisha yake ya sasa.



PART 02: Namna Dr Shika alivyotoroka Urusi 'kimafya', akataa kazi ya 100m/-

Mtanzania aliyekuwa akiishi Urusi, Dk Louis Shika aliyepata umaarufu kupitia uuzwaji wa nyumba za mfanyabiashara, Said Lugumi amefanya mazungumzo maalum na Daily News Digital pamoja na Daily News juu ya maisha yake ya sasa. PART 02: Namna Dr Shika alivyotoroka Urusi 'kimafya', akataa kazi ya 100m/-

Source: Daily News Digital
 
Daily News sio gazeti la CCM, ni gazeti la serikali ya CCM, kama ilivyo TBC, TBC Taifa, TBC FM na Gazeti la Habari Leo. Vyombo vya habari cha CCM ni gazeti la Uhuru/Mzalendo, Radio Uhuru, Channel Ten na Magic FM.
P
Kila kilicho ndani ya Serikali ya CCM ni cha CCM, hakuna tofauti ya Uhuru, na Darleo. Yote yanafanya kazi ileile ku praise.
 
Ahahaaaaa alafu mkuu siku hizi siitwi beira baby boy ni beira boy au LONDON BOY
First impression last longer, ulipojiungs mwanzo unajiita baby, sisi tumeisha kuzoea kama babu, hivyo hata unavyobadili na kujiita mara Beira mara London boy, kichwani mwetu wewe bado linakuja jina la babu, hata mimi nilipojiunga Jf, nilijiunga kwa jina la Pasco, nikawa naitwa Pasco wa jf, hata nilipobadili na kutumia jina langu halis la Paskali, wake wa zamani humu bado wananiita Pasco, hivyo bebi usijali.
P
 
Wanabodi,

Kupitia bandiko hili, imeripotiwa kuwa gazeti serious la serikali, The Daily News, ameripoti habari hii ya Dr. Shika

Imeripotiwa in a form of ridiculous as if Dr. Shika is just a normal person!. He is not!. Dr. Shika is a special case who needs assistance, privacy and treatment na siyo to ridiculed!

This is the highest points of unethical behaviour and unprofessionalism. Dada Tuma, weledi wake sis Gandhi yeti tunaufahamu tangu Kia newsroom ya RTD, usiruhusu vijana wako watuletee habari kama za yale magazeti ya makorokocho.

Hali ya Dr. Shika niliwahi kuizungumza humu


Maadam Daily News imekuwa wa kwanza ku-scoop hii homelessness ya Dr. Shika, please be the first to help out.
Paskali.
Niliona pia kwenye taarifa ya habari azam,huyu Dr nadhani anakazi maalumu ila anajifanyisha tu aonekane anashida
 
Pascal Mayalla,

Huyu Dr. Shika ana dalili zote za ugonjwa na mgonjwa hatakiwi kudhihakiwa bali anahitaji huruma ya kutafutiwa matibabu stahiki.

Tanzania ya awamu hii ya CCM imekosa utu na ndiyo tunaona vyombo vya habari kushabikia ugonjwa au maumivu ya majeraha ya mgonjwa.

Hili la Daily News badala ya kumtafutia msaada wa kitabibu uwe kumpeleka kwa wataalamu wa afya ya ubongo, counselling / ushauri nasaha n.k wao wanashangilia mgonjwa kuwa homeless n.k

Hili saga la Dr. Louis Shika mpaka sasa mbali ya kuhojiwa na vyombo kibao vya habari sijapata kuona wakitafuta positive side ya vitu alivyopata kufanikiwa kufanya zaidi ya mahojiano ya kumdhalilisha mtu anayehitaji msaada.

Naamini kuna wakati mwingine Dk. Shika hali yake inakuwa murua kiafya ya ubongo na hapo vyombo hivi vya habari wangetuletea habari chanya za mapito yake kielimu n.k badala ya kuvizia akiwa hana utimamu wa afya ndiyo wanafanya mahojiano naye.

Hii inaonesha kuna mapungufu katika weledi wa wanahabari na sehemu kubwa ya jamii ya kitanzania kuhusu magonjwa na vipi au wakati gani wamhoji mgeni wao ili wapate upande chanya wa mapito ya watu kama kina Dr. Shika.

Bora haya mahojiano yana chembe ya utu kujua matatizo ya Dr. Shika kiafya:
Balozi Patrich Chokala juu ya Dr. Louis Shika

Mkuu Bagamoyo, kwanza nashukuru kwa mchango wake, pili nashukuru kwa mahojiano hayo, tatu kuna funzo kubwa nimelipata hapa kuhusu uwezo wa balozi zetu huko ughaibuni, concentration yao ni diplomacy tuu na sio intelligence, wale maofisa wa TISS kwenye balozi zetu, sijui wako pale kufanya mini?!. Mtanzania amelowea Urusi for 20 plus years, ametekwa na majambazi, amejiokoa, msaada mkubwa wa ubalozi ni kumpatia tuu treatment na kumrudisha nyumbani bila kumfanyia and due diligence report?.

Rais Magufuli alizuia makinikia ya Barrick kwa Kunis tunaibiwa kwa file hatujui kilichomo na kinachopatikana.

Akaunda zile Tume zake mbili zikathibisha ni kweli tulikuwa tunaibiwa all along, tukaja na bili ya US $ 191 Billions. Mazungumzo yakafuatia.

Kwanza hiyo bill iligomewa kwa hoja hatuna basis, nikauliza humu, nchi zote zenye ma copper smelters Tanzania tuna balozi zetu, US, UK, Swiss, Belgium, China na Japan, kwa nini watu wetu wa ubalozi wasitufanyie economic intelligence kujua the cost ya ku smelt each containers, na the by products hapo will vary from the amount of concentrations, lakini tutapata rough costs, then tuya confiscate hayo tuliokamata to smelt sisi kupata verification ya kuibiwa. We did nothing, as a result mazungumzo yamemalizika, deni lote limefutwa for lack of justification, hawa Tiss wetu huko ubalozini kazi yao ni nini huku tukijinasibu Tanzania Tunafuata Dipmomasia ya Kiuchumi!.

Nimesikiliza mahojiano mengi ya Dr. Shika, kuna lots of discrepancies na inconsistencies za facts and fallacies, anaweza kuonekana kama a lunatic, insane or, while in reality some of his accounts ni truly undenied facts.

Huyu mtu anahitaji kusaidiwa sio kuwa ridiculed.
P
 
Kwani huyo Shika ni nani haswa hadi anyenyekewe?

Kuna wenye shida za akili wangapi wanaoishi maisha duni na wasio na makazi na wala hatujui habari zao!!!

Wale waliompaisha na kumtumia katika matangazo kiasi cha kufaidika, wamtafute walipe fadhila, hili sio jambo la kitaifa tafadhali.
 
Kwani huyo Shika ni nani haswa hadi anyenyekewe?

Kuna wenye shida za akili wangapi wanaoishi maisha duni na wasio na makazi na wala hatujui habari zao!!!

Wale waliompaisha na kumtumia katika matangazo kiasi cha kufaidika, wamtafute walipe fadhila, hili sio jambo la kitaifa tafadhali.
Mnada wa Nyumba za Lugumi was public interest issue, gazeti la Daily News ni gazeti la kitaifa. Sijasema anyenyekewe nimesema ni mtu mwenye kuhitaji kusaidiwa na sio kudhiakiwa.
P.
 
Duh
First impression last longer, ulipojiungs mwanzo unajiita baby, sisi tumeisha kuzoea kama babu, hivyo hata unavyobadili na kujiita mara Beira mara London boy, kichwani mwetu wewe bado linakuja jina la babu, hata mimi nilipojiunga Jf, nilijiunga kwa jina la Pasco, nikawa naitwa Pasco wa jf, hata nilipobadili na kutumia jina langu halis la Paskali, wake wa zamani humu bado wananiita Pasco, hivyo bebi usijali.
P
 
Back
Top Bottom