Naila Mbululo
New Member
- Nov 30, 2013
- 2
- 2
za saa hizi wapendwa,,jamani naombeni msaada..mimi ni msichana naependa sana ujasiriamali tatizo langu ni mtaji..nina idea kibao kuna kusafirisha culture nje,kuna kufungua biashara ya pop corn hizo ndo hasa nazozihitaji mtaji wake ni laki tano,,sina dhamana ya kitu nshaangaika kwenda banks ila ndo hivo nina elimu ya biashara courses na ninapenda biashara,,naombeni msaada wenu wa mawazo mwakan ujao usiishe bila kupata fursa,,naombeni sana