Luther760
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 316
- 240
Habari wakuu, tunaambiwa Kuna umoja wa Africa unaoziunganisha nchi zote kuwa kitu kimoja. Hii kitu imekaaje kwa wenzetu kukamatwa kila siku wakielekea SA kwa madiba?
Je hii organization inasimamia nini.?Halafu kama watu wanapita kwenye nchi yenu hamuezi kuwasindikiza mpaka mpakani mkawaacha waende zao?
Naomba kujuzwa wajuvi wa haya mambo.
Je hii organization inasimamia nini.?Halafu kama watu wanapita kwenye nchi yenu hamuezi kuwasindikiza mpaka mpakani mkawaacha waende zao?
Naomba kujuzwa wajuvi wa haya mambo.