mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Wana JF,
Ule usemi ambao Lowasa anausema mara kwa mara kuwa Professer Dr. Amiri jesh Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete kuwa hawakukutana barabarani imedhihilika baada ya kupata picha nzuri kutoka maktaba kuu.
Wawili hawa ni marafiki sana kuliko chochote ingawaje hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu, tunawatakia uongozi mzuri kwa ngazi walizopo na wanazotegemea kupata.
Ule usemi ambao Lowasa anausema mara kwa mara kuwa Professer Dr. Amiri jesh Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete kuwa hawakukutana barabarani imedhihilika baada ya kupata picha nzuri kutoka maktaba kuu.
Wawili hawa ni marafiki sana kuliko chochote ingawaje hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu, tunawatakia uongozi mzuri kwa ngazi walizopo na wanazotegemea kupata.