Habari njema: SIDO Arusha watengeneza Hema la kujifukizia nyungu

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,871
141,804
Watanzania wameendelea kuwa wabunifu katika kujenga mikakati imara ya kukabiliana na janga hili hatari la Corona.

SIDO mkoani Arusha wametengeneza hema maalumu kwa ajili ya kujifukizia au ukipenda kupiga nyungu.
Hema hilo ni mfano wa kama kibanda kidogo cha turubai ambacho mhusika ataingia ndani yake akiwa na nyungu zake na kujifungia humo hadi nyungu zipoe.

Bei ya hema hizo inakadiriwa kuwa kati ya sh 350,000 na 400,000

Wito umetolewa kwa mashirika na taasisi zote mkoani humo kuona umuhimu wa kuwanunulia wafanyakazi wao hema hizo.

Source: ITV habari

My take; hongera mbunge wa Arusha mjini

Maendeleo hayana vyama!
 
Sasa wewe kwa akili zako unaamini corona inakimbia mwilini kwa kupigiwa nyungu?
Kama unaamini hivyo basi mzazi/mlezi wako ada aliiharibu bure tu
Mimi nilifanya nikashusha homa na pua ikaacha kuwasha...Haitibu ila inakupa nafuu na baadhi ya dalili makali yanapungua au kupotea... Wewe jambo bado ni theory kwako,kwa wengine tushafanya fanya practical halafu unaleta kimbelembele.
 
Watanzania wameendelea kuwa wabunifu katika kujenga mikakati imara ya kukabiliana na janga hili hatari la Corona.

SIDO mkoani Arusha wametengeneza hema maalumu kwa ajili ya kujifukizia au ukipenda kupiga nyungu.
Hema hilo ni mfano wa kama kibanda kidogo cha turubai ambacho mhusika ataingia ndani yake akiwa na nyungu zake na kujifungia humo hadi nyungu zipoe.

Bei ya hema hizo inakadiriwa kuwa kati ya sh 350,000 na 400,000

Wito umetolewa kwa mashirika na taasisi zote mkoani humo kuona umuhimu wa kuwanunulia wafanyakazi wao hema hizo.

Source: ITV habari

My take; hongera mbunge wa Arusha mjini

Maendeleo hayana vyama!
Korona imekwisha wao ndiyo wanashituka, watatumia kugemea asali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom