johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 66,596
- 101,550
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof Mbarawa amesema Sekta binafsi itaendelea kutoa huduma za Vivuko pale Kigamboni sawia na Vivuko vya Serikali
Lengo ni kuhakikisha wananchi wanapata usafiri wa uhakika wakati wote
Source ITV habari
Lengo ni kuhakikisha wananchi wanapata usafiri wa uhakika wakati wote
Source ITV habari