Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
- Thread starter
- #81
Nimerekebisha kasome tena uchangieJK alikuwa waziri wa mambo ya nje 1995-2005.
Nimerekebisha kasome tena uchangieJK alikuwa waziri wa mambo ya nje 1995-2005.
Sasa tunatokaje hapa?Tatizo ni unafki na woga tu. Ukiona hivyo ujue amejipima na kujiona sio msafi hadi awanyoshee kidole waliomtangulia.
Marahaba haujambo?Aisee.. Shikamoo mkuu
Hawakwenda kisiasa.Kelele za nini si msubiri tu.. Mbona kesi ile ya Yona na Mramba mbona JK au MKAPA hawakuenda mahakamani
MarahabaAisee.. Shikamoo mkuu
Ndiyo ugumu. Leo watu wanaitwa mashujaa lakini mazingira yamejengwa ni rafiki kwa watuhumiwa
Halafu ndio inakuwa win win situation.Khalafu?
swali. Je! Watuhumiwa wakisema walikua wanatekeleza sera na maagizo ya Bosi wao! Je! Mabosi wao watabeba msalaba uo au Rais aliye madarakani atakubali watangulizi wake waende Segerea?We Piga kelele na u bush lawyer wako. Hao wanapigwa uhujumu uchumi kesi inasikilizwa miaka ishirini na mali tunataifisha.
Hapo umenena bila ya ushabiki WOWOTEWe Piga kelele na u bush lawyer wako. Hao wanapigwa uhujumu uchumi kesi inasikilizwa miaka ishirini na mali tunataifisha.
Magu amelifungulia "dude" kwa ajili ya kuwalaghai wadanganyika tu...at least Mkapa yeye ana kinga ya Raisi.
..lakini JK yeye tuhuma zake ni ktk majukumu yake alipokuwa Waziri.
..JK akiachwa na mawaziri wengine wakaburutwa mahakamani huo utakuwa ni uonevu.
Case closed..Kama Mkapa na JK ni "untouchables" then their sidekicks are also the "untouchables"