Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,206
- 4,699
Wadau wa JF
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Madaktari Bingwa kutokea Nchini Cuba wanatarajiwa kuwasili nchini Tanzania kwa ajili ya kutoa huduma za Kitabibu
Kwa mujibu wa taarifa za Kiserikali Madaktari hao watakapowasili nchini watatoa huduma za kibingwa kwenye Hospitali ya Benjamin Mkapa iliyopo Jijini Dodoma
Hongera Mama kwa kuimarisha mahusiano ya Kidiplomasia
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Madaktari Bingwa kutokea Nchini Cuba wanatarajiwa kuwasili nchini Tanzania kwa ajili ya kutoa huduma za Kitabibu
Kwa mujibu wa taarifa za Kiserikali Madaktari hao watakapowasili nchini watatoa huduma za kibingwa kwenye Hospitali ya Benjamin Mkapa iliyopo Jijini Dodoma
Hongera Mama kwa kuimarisha mahusiano ya Kidiplomasia