Habari njema kwako Bachelor mwenzangu

Habari za siku nyingi waungwana..


Ewe Bachelor mwenzangu unayehangaika kutafuta mke sehemu mbalimbali hadi huku mitandaoni bila mafanikio hii ni habari njema sana kwako......Fuatilia.

Sio jambo la ajabu kwa mtu kukuunganisha na mwanamke ambaye anahisi ni chaguo linaloweza kukufaa kuwa mkeo iwapo utaondokana na ile mentality kuwa siwezi kutafutiwa mke...

Binafsi naomba nikueleze wewe bachelor unayehitaji mke kuwa mm nipo radhi kumuunganisha bachelor mwenzangu mmoja ambaye atakuwa na uhitaji wa dhati na binti mmoja ambaye mm sina uwezo wa kumuoa kutokana na sheria na mila zetu ila ni binti ambaye kiufupi ana sifa zote za kuwa mke ambaye kamwe km mwanaume unayehitaji mke huwezi kujutia kumuoa..Yaani kiugupi hata mm kama ingekuwa sio kikwazo cha mila zetu haki ya nani nisingekuwa bachelor mpaka leo..

Ni binti ambaye hajajichanganya na harakati zozote za mapenzi ambaye 60% kwa imani yangu ninaamini ni BIKRA lakini sio kwamba ni mlugaluga wa kijijini la hasha bali ni binti aliye na akili zake ila akaamua kutulia tu,hizo 40% naziacha kwa ajili ya mashaka ya kutambua akili za wanawake...

Sipo kwa nia ya kumuuza mtu,kumpigia promo wala nia nyingine yoyote bali kumsaidia kijana mwenzangu bachelor anayehangaika kutafuta mke mwema na aliye serious ktk jambo hili.

Utakayehitaji maelezo ya kina unaweza kunifuata Pm maana maelezo mengine siwezi kuyaweka hapa ila huko nitakueleza kwa kina.

Angalizo ni kwa aliye serious tu na uhitaji wa mke playboys wenzangu tuendelee tu na misako yetu ya kawaida.

Sharing is Caring

Sent using Jamii Forums mobile app
duh
 
Habari za siku nyingi waungwana..


Ewe Bachelor mwenzangu unayehangaika kutafuta mke sehemu mbalimbali hadi huku mitandaoni bila mafanikio hii ni habari njema sana kwako......Fuatilia.

Sio jambo la ajabu kwa mtu kukuunganisha na mwanamke ambaye anahisi ni chaguo linaloweza kukufaa kuwa mkeo iwapo utaondokana na ile mentality kuwa siwezi kutafutiwa mke...

Binafsi naomba nikueleze wewe bachelor unayehitaji mke kuwa mm nipo radhi kumuunganisha bachelor mwenzangu mmoja ambaye atakuwa na uhitaji wa dhati na binti mmoja ambaye mm sina uwezo wa kumuoa kutokana na sheria na mila zetu ila ni binti ambaye kiufupi ana sifa zote za kuwa mke ambaye kamwe km mwanaume unayehitaji mke huwezi kujutia kumuoa..Yaani kiugupi hata mm kama ingekuwa sio kikwazo cha mila zetu haki ya nani nisingekuwa bachelor mpaka leo..

Ni binti ambaye hajajichanganya na harakati zozote za mapenzi ambaye 60% kwa imani yangu ninaamini ni BIKRA lakini sio kwamba ni mlugaluga wa kijijini la hasha bali ni binti aliye na akili zake ila akaamua kutulia tu,hizo 40% naziacha kwa ajili ya mashaka ya kutambua akili za wanawake...

Sipo kwa nia ya kumuuza mtu,kumpigia promo wala nia nyingine yoyote bali kumsaidia kijana mwenzangu bachelor anayehangaika kutafuta mke mwema na aliye serious ktk jambo hili.

Utakayehitaji maelezo ya kina unaweza kunifuata Pm maana maelezo mengine siwezi kuyaweka hapa ila huko nitakueleza kwa kina.

Angalizo ni kwa aliye serious tu na uhitaji wa mke playboys wenzangu tuendelee tu na misako yetu ya kawaida.

Sharing is Caring

Sent using Jamii Forums mobile app
Tupia namba zake za simu tumfuate hewani bro,mm nipo serious niachane upweke.
 
Oyaa Bachelor uliyeshindikana, huyo Dada alifanikiwa?, tupe mrejesho nataka nipitishie ombi langu pia kwako unisaidie

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha kuna mtu mmoja nilitokea kujenga imani naye ila sijapata feedback toka kwake bado ila kumekuwa na changamoto kadhaa....

1..Wengine wananifuata PM wakiomba connection kwa njia zetu zile tunazopeana kwa ajili ya madada poa kule uwanjani kwetu wasijue kuwa hapa tunazungumzia serious matter juu ya mtu mwenye misimano yake.

2..Tofauti ya imani imekuwa ni kikwazo maana nimewaambia imani ya binti ni muislam hawezi kubali mtu wa imani nyingine yeye pia wazazi wake na wala hahitaji kumbadilisha mtu imani sababu tu amuoe maana anajua itakuwa ni kumdanganya.

3..Before sijamjibu mtu nilikuwa napitia michango yake humu jamvini walau nipate hata taswira ya mtu ninayempambania but kuna baadhi nimekuta ni wavulana sana yaani hakosi kutukana kwa kila atakachomjibu mtu ambaye hawaendi sawa so namaanisha ni watukanaji mnoooo.Unajua zaidi ya majina tunayojipa humu jamvini bado ktk maisha halisi huku uraiani wengine tuna heshima na busara zetu,siwezi jivunjia heshima kwa kumpambania muhuni..

So kunitumia mm sio vibaya ila ukifahamu tu kuwa mm sio dalali wala kuwadi ila nilikuwa ninejitolea kumpambania bachelor mwenzangu mmoja achukue mke ila userious umekosekana..Kikubwa ni kujiweka ktk level ya mke na sio ya msichana nina imani utapata tu mwenza InshaAllah. Mengine waweza nitembelea PM km una lolote la kushare..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umevuta bangi ya watu wewe 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom