zege la nyasi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 928
- 1,242
Hivi bado wapo likizo ee.......
🤣😂😂😂
🤣😂😂😂
duhHabari za siku nyingi waungwana..
Ewe Bachelor mwenzangu unayehangaika kutafuta mke sehemu mbalimbali hadi huku mitandaoni bila mafanikio hii ni habari njema sana kwako......Fuatilia.
Sio jambo la ajabu kwa mtu kukuunganisha na mwanamke ambaye anahisi ni chaguo linaloweza kukufaa kuwa mkeo iwapo utaondokana na ile mentality kuwa siwezi kutafutiwa mke...
Binafsi naomba nikueleze wewe bachelor unayehitaji mke kuwa mm nipo radhi kumuunganisha bachelor mwenzangu mmoja ambaye atakuwa na uhitaji wa dhati na binti mmoja ambaye mm sina uwezo wa kumuoa kutokana na sheria na mila zetu ila ni binti ambaye kiufupi ana sifa zote za kuwa mke ambaye kamwe km mwanaume unayehitaji mke huwezi kujutia kumuoa..Yaani kiugupi hata mm kama ingekuwa sio kikwazo cha mila zetu haki ya nani nisingekuwa bachelor mpaka leo..
Ni binti ambaye hajajichanganya na harakati zozote za mapenzi ambaye 60% kwa imani yangu ninaamini ni BIKRA lakini sio kwamba ni mlugaluga wa kijijini la hasha bali ni binti aliye na akili zake ila akaamua kutulia tu,hizo 40% naziacha kwa ajili ya mashaka ya kutambua akili za wanawake...
Sipo kwa nia ya kumuuza mtu,kumpigia promo wala nia nyingine yoyote bali kumsaidia kijana mwenzangu bachelor anayehangaika kutafuta mke mwema na aliye serious ktk jambo hili.
Utakayehitaji maelezo ya kina unaweza kunifuata Pm maana maelezo mengine siwezi kuyaweka hapa ila huko nitakueleza kwa kina.
Angalizo ni kwa aliye serious tu na uhitaji wa mke playboys wenzangu tuendelee tu na misako yetu ya kawaida.
Sharing is Caring
Sent using Jamii Forums mobile app
Tia maelezo kidogo,Janga kivipi halafu umequote na kupoint hiyo text ya age,Vp kuna shida yoyote?
Kanda ya magharibi ila sio Taboraanatokea kanda gan?tuanzie hapo kwanza
kama n muha tuwasiliane mkuu,ni moja ya wanawake wenye vigezo vya u wife material hapa tz
Mkuu mvuto wa mtu upo machoni kwa mtu so kinachonivutia mm yawezekana ww ukakiona sio so mwamuzi wa mwisho yanabaki kuwa macho na nafsi yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huku niliko salama kabisa.. niko hapa kujaribu bahati yangu maana si kwa promo hizi
jaribu mkuu huenda ukapata dodo kwenye muarobaini,kila rakheri.Huku niliko salama kabisa.. niko hapa kujaribu bahati yangu maana si kwa promo hizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupia namba zake za simu tumfuate hewani bro,mm nipo serious niachane upweke.Habari za siku nyingi waungwana..
Ewe Bachelor mwenzangu unayehangaika kutafuta mke sehemu mbalimbali hadi huku mitandaoni bila mafanikio hii ni habari njema sana kwako......Fuatilia.
Sio jambo la ajabu kwa mtu kukuunganisha na mwanamke ambaye anahisi ni chaguo linaloweza kukufaa kuwa mkeo iwapo utaondokana na ile mentality kuwa siwezi kutafutiwa mke...
Binafsi naomba nikueleze wewe bachelor unayehitaji mke kuwa mm nipo radhi kumuunganisha bachelor mwenzangu mmoja ambaye atakuwa na uhitaji wa dhati na binti mmoja ambaye mm sina uwezo wa kumuoa kutokana na sheria na mila zetu ila ni binti ambaye kiufupi ana sifa zote za kuwa mke ambaye kamwe km mwanaume unayehitaji mke huwezi kujutia kumuoa..Yaani kiugupi hata mm kama ingekuwa sio kikwazo cha mila zetu haki ya nani nisingekuwa bachelor mpaka leo..
Ni binti ambaye hajajichanganya na harakati zozote za mapenzi ambaye 60% kwa imani yangu ninaamini ni BIKRA lakini sio kwamba ni mlugaluga wa kijijini la hasha bali ni binti aliye na akili zake ila akaamua kutulia tu,hizo 40% naziacha kwa ajili ya mashaka ya kutambua akili za wanawake...
Sipo kwa nia ya kumuuza mtu,kumpigia promo wala nia nyingine yoyote bali kumsaidia kijana mwenzangu bachelor anayehangaika kutafuta mke mwema na aliye serious ktk jambo hili.
Utakayehitaji maelezo ya kina unaweza kunifuata Pm maana maelezo mengine siwezi kuyaweka hapa ila huko nitakueleza kwa kina.
Angalizo ni kwa aliye serious tu na uhitaji wa mke playboys wenzangu tuendelee tu na misako yetu ya kawaida.
Sharing is Caring
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha kuna mtu mmoja nilitokea kujenga imani naye ila sijapata feedback toka kwake bado ila kumekuwa na changamoto kadhaa....Oyaa Bachelor uliyeshindikana, huyo Dada alifanikiwa?, tupe mrejesho nataka nipitishie ombi langu pia kwako unisaidie
Sent using Jamii Forums mobile app
Bangi ilinikataa aisee,pindi niko Advance Midlands high school nilijaribu nikapiga Puff 3 tu ila mawenge yake nikakoma na kukoma.Sijawahi ona mawenge ya vile yaani upo juu ya kitanda ila hiyo speed kinavyozunguka acha kabisa.Umevuta bangi ya watu wewe