Habari njema kwa wafugaji

Tutor B

JF-Expert Member
Jun 11, 2011
9,025
6,554
Natumaini haujambo wewe unayesoma hii mada.

Leo napenda kuwaleteeni habari njema ya kuwasaidia wafugaji wa kuku, bata, nguruwe, sungura, ng'ombe nk. Habari yenyewe ni kuhusiana na uwezekano wa kuzalisha chakula bora cha mifugo kwa bei rahisi sana.

Chakula hicho kinafahamika kama Hydroponics Fodder; ni chakula halisi kinachozalishwa kutokana na mbegu za shayili, ngano, mahindi, serena n.k. Chakula hiki kinazalishwa kwa kutumia trei na virutubisho bila kutumia udongo.

Iwapo utapenda kujifunza namna ya kuzalisha chakula hicho - tumekuandalia kitabu chenye maelekezo ya hatua kwa hatua. Unaweza kujipatia kitabu hicho kikiwa soft coy au hard copy kwa kuwasiliana nasi kwa nambari 0655-533543; e-mail: jnb14enterprises@gmail.com.

Uliza chochote kuhusiana na Hydroponics Fodder utajibiwa.

KARIBU.

Updates
Wakati nafuatilia tafiti mbalimbali nimesoma sehemu imethibitika kuwa ... Kati ya watanzania 10 (watu wazima); 8 hawana elimu zaidi ya Elimu ya msingi"
Utafiti huu ulifanyika mwaka 2017 na Finscope Tanzania. Hapa jambo la kujiuliza ... machapisho mengi ya kusaidia watu kujifunza yameandikwa kwa lugha ya kiingereza ... video nyingi za youtube kama aliyoweka jamaa yangu kuonesha namna ya kuotesha fodder ni ya kiingereza ... ina maana teknolojia inayotolewa kwa lugha ya kiingereza inawafikia watu wachache sana.

Kwa kulitambua hilo ndiyo maana tumeanza kuwashirikisha wadau mbali mbali ili tuuweze kupata machapisho ya kunoa bongo za watanzania yaliyoandaliwa kwa lugha ya kiswahili.
 
Tiririka kwa uchache, yaani summary ya utayarishaji ya hivyo vyakula
 
Umelipia tangazo?....kwa tanzania ukiona mtu anakuita kwenye fulsa juwa wewe ndiye fulsa yenyewe, ni tanzania peke yake utaona mtunzi wa kitabu cha ufugaji wa kuku au samaki lakini kwake hana mfugo ata yule paka wa kuzugia hakuna.au njoo uwe milionea kwa mtaji mdogo wa elfu 10 lakini muuzaji mwenyewe kiatu soli imeisha upande mmoja kwa sababu ya kupiga misele ovyo mitaani kutafuta wanunuzi wa vitabu.
 
Natumaini haujambo wewe unayesoma hii mada.

Leo napenda kuwaleteeni habari njema ya kuwasaidia wafugaji wa kuku, bata, nguruwe, sungura, ng'ombe nk. Habari yenyewe ni kuhusiana na uwezekano wa kuzalisha chakula bora cha mifugo kwa bei rahisi sana.

Chakula hicho kinafahamika kama Hydroponics Fodder; ni chakula halisi kinachozalishwa kutokana na mbegu za shayili, ngano, mahindi, serena n.k. Chakula hiki kinazalishwa kwa kutumia trei na virutubisho bila kutumia udongo.

Iwapo utapenda kujifunza namna ya kuzalisha chakula hicho - tumekuandalia kitabu chenye maelekezo ya hatua kwa hatua. Unaweza kujipatia kitabu hicho kikiwa soft coy au hard copy kwa kuwasiliana nasi kwa nambari 0655-533543; e-mail: jnb14enterprises@gmail.com.

Uliza chochote kuhusiana na Hydroponics Fodder utajibiwa.

KARIBU.
Sharing is caring, hii hapa YouTube video inafundisha Bure step by step kutengeneza hydroponics fodder bila kununua kitabu

 
Sharing is caring, hii hapa YouTube video inafundisha Bure step by step kutengeneza hydroponics fodder bila kununua kitabu


SAFI SANA ... INAPENDEZA .. ILA KUMBUKA WATANZANIA WENGI HAWANA ACCESS NA MITANDAO NDO MAANA TUMEJIDHATITI KWENYE NJIA AMBAYO TUNAAMINI KILA MTU ANAWEZA KUPATA MAARIFA HAYO.
 
Umelipia tangazo?....kwa tanzania ukiona mtu anakuita kwenye fulsa juwa wewe ndiye fulsa yenyewe, ni tanzania peke yake utaona mtunzi wa kitabu cha ufugaji wa kuku au samaki lakini kwake hana mfugo ata yule paka wa kuzugia hakuna.au njoo uwe milionea kwa mtaji mdogo wa elfu 10 lakini muuzaji mwenyewe kiatu soli imeisha upande mmoja kwa sababu ya kupiga misele ovyo mitaani kutafuta wanunuzi wa vitabu.
Huo ni mtazamo wako ... awazalo asiyejua halipaswi kusumbua anayejua ...
Wenye kuhitaji teknolojia hiyo wanaendelea kuja kituoni na kujifunza ... wewe endelea kukariri.
Jambo la pili .. hii ni taasisi hivyo hakuna mtu anayetembea kusambaza kitabu .. wahitaji wanaagiza au wanakuja kituoni kwetu kwa ajili ya kuhudumiwa.
Ni imani yangu kubwa kuwa ukifunguka macho ya rohoni utapata utambuzi.
 
Umelipia tangazo?....kwa tanzania ukiona mtu anakuita kwenye fulsa juwa wewe ndiye fulsa yenyewe, ni tanzania peke yake utaona mtunzi wa kitabu cha ufugaji wa kuku au samaki lakini kwake hana mfugo ata yule paka wa kuzugia hakuna.au njoo uwe milionea kwa mtaji mdogo wa elfu 10 lakini muuzaji mwenyewe kiatu soli imeisha upande mmoja kwa sababu ya kupiga misele ovyo mitaani kutafuta wanunuzi wa vitabu.


Umenena Mkuu, nlkutana na mtu kuchoka anahvo vtabu vya sampuli ya hicho cha mleta mada na vtabu vya watoto vya kujifunza kuandika.


Swali kwanini hawasomagi hivo vitabu wao? Wakayafanyia kazi?
 
Umenena Mkuu, nlkutana na mtu kuchoka anahvo vtabu vya sampuli ya hicho cha mleta mada na vtabu vya watoto vya kujifunza kuandika.


Swali kwanini hawasomagi hivo vitabu wao? Wakayafanyia kazi?
Anayekuandikia haya ndo anatumikia NGO inayofanya kazi Tanzania bara nzima, anasoma vitabu sana na anavifanyia kazi. Tembelea www.mwasenda.org ukutane na timu nzima ya watenda kazi. Kwa taarifa yako ni kwamba ... kwenye NGO hii tupo watu wenye taaluma zetu; wengine ni watumishi wa serikali, wengine wanafundisha vyuo vikuu ... na uzuri ni kwamba wanaofundisha vyuo vikuu sio wabongo ... wanashangaa namna wabongo walivyo na fursa nyingi lakini hawazitumii.
 
Anayekuandikia haya ndo anatumikia NGO inayofanya kazi Tanzania bara nzima, anasoma vitabu sana na anavifanyia kazi. Tembelea www.mwasenda.org ukutane na timu nzima ya watenda kazi. Kwa taarifa yako ni kwamba ... kwenye NGO hii tupo watu wenye taaluma zetu; wengine ni watumishi wa serikali, wengine wanafundisha vyuo vikuu ... na uzuri ni kwamba wanaofundisha vyuo vikuu sio wabongo ... wanashangaa namna wabongo walivyo na fursa nyingi lakini hawazitumii.


Mnauwezo mkubwa sana wa kushawishi watu vitu ambavyo hamjawahi kuvifanya. Hongeren kwa hilo.

Nyie ndo watu mnaofundisha Ujasiriamali na hata hamjawahi kuuza pipi.
 
Mnauwezo mkubwa sana wa kushawishi watu vitu ambavyo hamjawahi kuvifanya. Hongeren kwa hilo.

Nyie ndo watu mnaofundisha Ujasiriamali na hata hamjawahi kuuza pipi.
Hunifahamu ndo maana unaifananisha na hao...

Alokwishaumwa nyoka akiona mjusi lazima ashtuke ...

Bin adam akidanganyika sana mwishowe akili yake hupata kilema cha maisha ...

Watanzania walio wengi wamepata vilema vya maisha ...

Je na wewe ni mmoja wao?
 
Hunifahamu ndo maana unaifananisha na hao...

Alokwishaumwa nyoka akiona mjusi lazima ashtuke ...

Bin adam akidanganyika sana mwishowe akili yake hupata kilema cha maisha ...

Watanzania walio wengi wamepata vilema vya maisha ...

Je na wewe ni mmoja wao?

Hunifahamu ndo maana unaifananisha na hao..." Ni kweli sikufahamu ila wengi wa waandishi wa vitabu vya motivation wa Tanzania ni hovyo.

Alokwishaumwa nyoka akiona mjusi lazima ashtuke ..." Mda mwingne si kweli Mkuu.

Bin adam akidanganyika sana mwishowe akili yake hupata kilema cha maisha ... "" Umenena vema sana Mkuu.

Watanzania walio wengi wamepata vilema vya maisha ..., "" mm sio Mtanzania

Je na wewe ni mmoja wao?,,"" Hapana
 
Hunifahamu ndo maana unaifananisha na hao..." Ni kweli sikufahamu ila wengi wa waandishi wa vitabu vya motivation wa Tanzania ni hovyo.

Alokwishaumwa nyoka akiona mjusi lazima ashtuke ..." Mda mwingne si kweli Mkuu.

Bin adam akidanganyika sana mwishowe akili yake hupata kilema cha maisha ... "" Umenena vema sana Mkuu.

Watanzania walio wengi wamepata vilema vya maisha ..., "" mm sio Mtanzania

Je na wewe ni mmoja wao?,,"" Hapana
Ok, ingia kwenye website ya shirika langu ... napaswa kuwahudumia watanzania .. kama wewe sio .. nisamehe bure.

Sisi tunafanyia kazi tafiti zilizofanywa na wataalamu mbalimbali.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom