Habari Njema Kutoka Acacia: Wakubali Kila Kitu Ikiwemo Kulipa Kishika Uchumba Cha Dola Milioni 300

Ni kweli umesema ila ukumbuke kuna mikataba tayari tulikuwa tumeshasaini ambayo ilikuwa kisheria ndio ambayo inatucost tatizo sio wao tatizo ni sisi tulishajichanganya ndio maana magufuli anataka kulichukulia hili swala si kibabe zaidi anawatekenya tekenya ili walainike coz anajua tulisheza sindimba ambayo inatukocost saa hii hata hivyo kajitaidi kupata hiyo pesa wazungu ni wajanja sana ingekuwa hakuna mikataba tuliosaini mwanzo hivi magu yale macontena pale bandarini yangekuwepo hadi sasa.au unataka kusema magu hajui kilichopo mule mpaka sampo ilitolewa kule sema ushabiki ni mwingi tzd ndio maana lissu alikataa coz alijua wale wana haki kwa ujinga wetu wenyewe ila anko akasema pamoja na haki lazima kieleweke huku akijua wana haki mungu si bashite uzuri kidogo wanatekenyeka ili apate pa kuanzia big up anko wapo watanzania wanaombea hata wasotekenyeke wamnyoshe anko ili waendelee kubebe tu kweli tumelogwa bora mpate hata hiyo balimi kuliko kukosa miaka yote ile makosa yalishafanyika hatuwezi kuwaachia kuendelea kifanya kosa
 
MATOKEO YA UCHUNGUZI
1.Kamati imebaini uwepo wa dhahabu kiasi Kikubwa cha dhahabu kwenye makinikia,katika makontena 277 yaliyozuiliwa kulikuwa na tani saba za dhahabu!.2.Makontena 277 yaliyozuliwa yalikuwa na dhahabu yenye thamani zaidi ya shilingi Trilioni moja nukta moja nne saba!.
3.Kamati ilibaini uwepo wa madini ya shaba,Silver,surpher,chuma.
4.Copper pekee ilikuwa ya thamani ya shilingi Bilioni 23.3,hapa kulikuwa na tofauti kubwa na ripotibya serikali ambayo ilionesha kuwa na thamaninya Bilioni 13.
4.Upande wa silver kamati ilibaini uwepo wa silver ya thamani ya bilioni 2.1.tofauti na ripoti ya Serikali ilionesha thamani ya Bilioni 1.
5.Upande wa surpher kamati ilibaini uwepo wa surpher ya thamani ya shilingi bilioni 1.9,kamati ilibaini madini madini haya hayapo katika mrabaha
6.Kamati ilibaini uwepo wa madini ya chuma yenye thamani ya shilingi Bilioni 2.3,
7.Kamati ilibaini uwepo wa madini mkakati ambayo kwa sasa yanahitajika sana duniani yenye thamani kati ya bilioni 129.5 mpaka bilioni 261.5
Thamani ya madini yote katika makinikia kwenye makontena 277 yaliyochunguzwa kamati imebaini yana thamani ya triloni 1.339,ambazo serikali haipati hasa senti moja na hayapo kwenye mrabaha!.
8.Kamati imegundua uwepo wa madini mengine mengii ambayo hayarekodiwi kwenye nyaraka za serikali!.
9.Kamati imebaini wakala wa madini Tanzania hawafungi utepe kwenye makontena kuonesha viwango vya madini,kamati imebaini ufungwaji huu kufanyika wakati wa kusafirisha makontena.
10.Kamati imebaini scanner za bandarini kutokuwa na uwepo wa kubaini utotoshwaji wa mali
 
Pasco kile ambacho unatakiwa kufahamu ni kuwa serikali ni smart sana na wanajua wanachofanya..Kuwapelekea deni la pesa nyingi na vtisho ilikuwa kuwafanya wawe na Adabu, na kitu ambacho Serikali imefanikiwa. Kama wangezuia mchanga tu bila kuwapa invoice ya mpunga mnene wasinge mwayaya..Wakati mwingine unawachekesha mpka wakae sawa. hii strategy nzuri sana. Mtu ambaye unamdai laki mbili unampelekea deni la milioni 50, Lazima akuogope na aje mjadili..anaweza kuingia mkenge akakupa hata milioni 1, ndicho kilichotokea.

Kuwapelekea Invoice ya pesa kubwa kumesaidia kuwatisha na kuweka hoja zet a kutumia sheria mpya ya madini. hata zile ripoti za Uruma na Osoro zilikuwa ni kuwaoesha wao ni wezi duniani..wakawa wadogo, kweli wametikisika. tuwe postive to this.
Not that simple! Wale Jews sio mafala kama unavyowachukulia!
 
Serikali ya nchi inaongozwa (mawaziri), wapumbavu!!!!!!!!!! raisi wangu.

Wanaotaka mabadiliko ya ukombozi wa taifa ni mapumbavu na malofa raisi wangu mwingine.

No wonder wanamhukumu kifo Tundu Lisu kwa kuwa anawaonyesha makosa yao na kuwaonyesha njia lakini kwa kuwa ni mapumbavu, hawaelewi!

Hadi hapo jes litakapoamua kuangalia ndani ya mipaka.


Wanabodi,

Baada ya serikali kusaini makubaliano na Barrick ambao pamoja na mambo mengine, waliahidi kutupa kitita cha dola milioni 300 kama ishara ya nia njema, Acacia walitoa taarifa kuwa hawana hizo fedha. Mimi nilipandisha uzi uzi humu kwanza kuipongeza serikali yetu kwa hatua hiyo na nikashauri kwa vile hizi dola milioni 300 zinatosha kununulia kichenjulio, Priorities Zetu Nini?. Dola Milioni 300 Zinatosha Kununua ...
kisha nikapandisha uzi kuilaani Acacia kwa ukosefu wa adabu, kiburi na jeuri, Hivi Hawa Acacia Wana Adabu Kweli?, Baba Akiishasema Kitu ...

Lakini hatimaye jana, Acacia wametoa taarifa rasmi kupitia a voice note attached kwenye uzi huu, kuwa wamekubali kila kitu.

Taarifa hii nimeipata humu humu jf, japo nimetembelea websites za Accacia na Barrick ili kuthibitisha, sikuzikuta ila kwa kusikiliza, mtakubaliana na mimi, its genuine
Mkuu Bams kwanza asante sana kwa hii kitu especially the voice note ila naomba nikurekebishe kidogo, hiyo hesabu ya vat receivable has nothing to do na kile kishika uchumba chetu cha dola milioni 300, wamesama cash hiyo ya kulipa kwa mara moja ndio hawana, ila kidogo kidogo, watalipa.
  1. In principle, Acacia wamepokea rasmi makubaliano hayo ya serikali na Barrick na hoja zote za makubaliano hayo zimepokelewa ila zinasubiri tuu Baraka za bodi ya Acicia kwa utekelezaji.
  2. Itaundwa kampuni mpya ambayo serikali itakuwa na 16% shares na mgowanyo wa 50/50 ni kwenye economic benefits and not on profits.
  3. Watalipa hiyo dola milioni 300 ila sio upfront but in instalments kwa kadri watakavyokubaliana utaratibu wa malipo kwa sababu kwa sasa hawana hiyo cash
  4. Lengo kukubali yote haya ni ili mchanga wao wa dhahabu, uliozuiliwa, uruhusiwe kuondoka.
My Take.
The borne of contention ni tunaibiwa kwa sababu hatujui kilichomo kwenye ule mchanga. Kama kufuatia ahadi ya kishika uchumba hiki tutaruhusu mchanga uondoke tena bila kujua kilichomo, kiukweli Tanzania tutakuwa ni nchi ya ajabu sana!.

Kwenye press conference hiyo ya 30 minutes hakuna popote wamezungumzia kutujengea uwezo kuchenjua na kwenye makubaliano hayo hakuna lolote kuhusu uchenjuaji hivyo it's official mchanga utaondoka!. Swali la kujiuliza ni tuliuzuia mchanga ule ili kupata nini?. Nilidhani tuliuzuia ili kujua kilichomo!. Na hiki kishika uchumba cha dola milioni 300 ni cha nini?, sio kishika uchumba ili mwali wetu aondoke bila kulipiwa mahari?.

Kwa maoni yangu, pamoja na nia njema ya serikali yetu kilimaliza hili suala la mgogoro wa makinikia, bado kunatakiwa kutolewa tafsiri rasmi ya makubaliano hayo inayokubalika pande zote tatu, tripartite, kwa upande wetu, tunasema hili, Barrick wanasema hili, na Accacia wanasema hili, lakini katika yote yanayosemwa, bado sijasikia popote hizi dola milioni 300 za nia njema, ni za nia njuema ya nini?, au ni nini njema ili mchanga uliozuiliwa uondoke?.

There is something fishy!.
  1. Tulizuia mchanga kwa sababu hatujui kilichomo.
  2. Tukaunda tume ili kuchunguza kilicjomo
  3. Tukapata matokeo, kilichomo ni kikubwa mara 100!, hivyo tukajua tunaibiwa na tukaja hadi na figures
  4. Bosi wa Barrick alipokuja tuu mara ya kwanza, akaahidi watasaidia kujenga uwezo wa kuchenjua, ili tuchenjue wenyewe na tujue kilichomo.
  5. Katika mazungumzo, sijasikia uchenjuaji ukizungumzwa popote bali ni kishika uchumba cha dola milioni 300 za goodwill.
  6. TRA imesema tunawadai Acacia Trilioni 450, sijasikia zikizungumziwa popote na kamwe haziwezi kuthibitishwa bila sisi kuuchenjua huo mchanga!.
  7. Ndio maana nikashauri, kama smelter ni dola milioni 300 na sisi tumepewa dola milioni 300, za bure bure, then tununulie smelter tuchenjue kujua kilichomo. Priorities Zetu Nini?. Dola Milioni 300 Zinatosha Kununua Smelter ...
  8. Huko nyuma tuliwatuma wataalamu wetu kufanya utafiti na haya ndio yalikuwa majibu yao Wataalamu Hawa Wachunguzwe!,Jee Kuna ... - JamiiForums
  9. Hawa Acacia ni viburi, jeuri na hawana adabu kabisa, lakini kama nao wamekubali kulipa hizi dola milioni 300 bila kusema ni za kulipia nini, then kuna something else going on behind the closed doors ama hatuambiwi, ama wanajua wanachofanya hivyo kama kuna yeyote anayejua hizi dola milioni 300 ni za nini, naeomba anielimishe!.
  10. Kwa akili ya kawaida tuu, mtu unamdai deni la trilioni 450, hazingumzii lolote kuhusu deni hilo, the only way kuli verify ni kwa kuuchenjua huo mchanga, lakini anakuja na zawadi ya dola milioni 300 za kukonyesjea nia njema, kisha anakuomba mchanga wake unaoushikilia!, na wewe unafurahia hii gesture na kumuita "A true Friend"?!... yayah...!.
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
Rejea kuhusu Makinikia
Kuzuia Mchanga wa Dhahabu, Magufuli Anastahili Pongezi. Tusiishie ...
Maendeleo ya kweli TZ Yataletwa na Elimu na ... - JamiiForums
Wataalamu Hawa Wachunguzwe!,Jee Kuna Posibility Walihongwa Kutoa ...
A Compromised Possibility: Iweje Ripoti ya Kamati ya 2 iibukie ...
Kupata Maendeleo ya Kweli, Tanzania Inahitaji Systems Not Dramas ...
Mkapa na Kikwete Walidanganywa na Wakadanganyika!, Magufuli ...
Makinikia: Je, Vyombo Vya Habari Vifukue Makaburi ya Chanzo, Au ...
Ripoti ya kitaalamu kuhusu uchenjuaji wa mchanga wa madini | Page ...
Zita Act Retro-Respectively? Tutavunja Mikataba Yote Iliyopo?, Can ...
 
Wanabodi,

Baada ya serikali kusaini makubaliano na Barrick ambao pamoja na mambo mengine, waliahidi kutupa kitita cha dola milioni 300 kama ishara ya nia njema, Acacia walitoa taarifa kuwa hawana hizo fedha. Mimi nilipandisha uzi uzi humu kwanza kuipongeza serikali yetu kwa hatua hiyo na nikashauri kwa vile hizi dola milioni 300 zinatosha kununulia kichenjulio, Priorities Zetu Nini?. Dola Milioni 300 Zinatosha Kununua ...
kisha nikapandisha uzi kuilaani Acacia kwa ukosefu wa adabu, kiburi na jeuri, Hivi Hawa Acacia Wana Adabu Kweli?, Baba Akiishasema Kitu ...

Lakini hatimaye jana, Acacia wametoa taarifa rasmi kupitia a voice note attached kwenye uzi huu, kuwa wamekubali kila kitu.

Taarifa hii nimeipata humu humu jf, japo nimetembelea websites za Accacia na Barrick ili kuthibitisha, sikuzikuta ila kwa kusikiliza, mtakubaliana na mimi, its genuine
Mkuu Bams kwanza asante sana kwa hii kitu especially the voice note ila naomba nikurekebishe kidogo, hiyo hesabu ya vat receivable has nothing to do na kile kishika uchumba chetu cha dola milioni 300, wamesama cash hiyo ya kulipa kwa mara moja ndio hawana, ila kidogo kidogo, watalipa.
  1. In principle, Acacia wamepokea rasmi makubaliano hayo ya serikali na Barrick na hoja zote za makubaliano hayo zimepokelewa ila zinasubiri tuu Baraka za bodi ya Acicia kwa utekelezaji.
  2. Itaundwa kampuni mpya ambayo serikali itakuwa na 16% shares na mgowanyo wa 50/50 ni kwenye economic benefits and not on profits.
  3. Watalipa hiyo dola milioni 300 ila sio upfront but in instalments kwa kadri watakavyokubaliana utaratibu wa malipo kwa sababu kwa sasa hawana hiyo cash
  4. Lengo kukubali yote haya ni ili mchanga wao wa dhahabu, uliozuiliwa, uruhusiwe kuondoka.
My Take.
The borne of contention ni tunaibiwa kwa sababu hatujui kilichomo kwenye ule mchanga. Kama kufuatia ahadi ya kishika uchumba hiki tutaruhusu mchanga uondoke tena bila kujua kilichomo, kiukweli Tanzania tutakuwa ni nchi ya ajabu sana!.

Kwenye press conference hiyo ya 30 minutes hakuna popote wamezungumzia kutujengea uwezo kuchenjua na kwenye makubaliano hayo hakuna lolote kuhusu uchenjuaji hivyo it's official mchanga utaondoka!. Swali la kujiuliza ni tuliuzuia mchanga ule ili kupata nini?. Nilidhani tuliuzuia ili kujua kilichomo!. Na hiki kishika uchumba cha dola milioni 300 ni cha nini?, sio kishika uchumba ili mwali wetu aondoke bila kulipiwa mahari?.

Kwa maoni yangu, pamoja na nia njema ya serikali yetu kilimaliza hili suala la mgogoro wa makinikia, bado kunatakiwa kutolewa tafsiri rasmi ya makubaliano hayo inayokubalika pande zote tatu, tripartite, kwa upande wetu, tunasema hili, Barrick wanasema hili, na Accacia wanasema hili, lakini katika yote yanayosemwa, bado sijasikia popote hizi dola milioni 300 za nia njema, ni za nia njuema ya nini?, au ni nini njema ili mchanga uliozuiliwa uondoke?.

There is something fishy!.
  1. Tulizuia mchanga kwa sababu hatujui kilichomo.
  2. Tukaunda tume ili kuchunguza kilicjomo
  3. Tukapata matokeo, kilichomo ni kikubwa mara 100!, hivyo tukajua tunaibiwa na tukaja hadi na figures
  4. Bosi wa Barrick alipokuja tuu mara ya kwanza, akaahidi watasaidia kujenga uwezo wa kuchenjua, ili tuchenjue wenyewe na tujue kilichomo.
  5. Katika mazungumzo, sijasikia uchenjuaji ukizungumzwa popote bali ni kishika uchumba cha dola milioni 300 za goodwill.
  6. TRA imesema tunawadai Acacia Trilioni 450, sijasikia zikizungumziwa popote na kamwe haziwezi kuthibitishwa bila sisi kuuchenjua huo mchanga!.
  7. Ndio maana nikashauri, kama smelter ni dola milioni 300 na sisi tumepewa dola milioni 300, za bure bure, then tununulie smelter tuchenjue kujua kilichomo. Priorities Zetu Nini?. Dola Milioni 300 Zinatosha Kununua Smelter ...
  8. Huko nyuma tuliwatuma wataalamu wetu kufanya utafiti na haya ndio yalikuwa majibu yao Wataalamu Hawa Wachunguzwe!,Jee Kuna ... - JamiiForums
  9. Hawa Acacia ni viburi, jeuri na hawana adabu kabisa, lakini kama nao wamekubali kulipa hizi dola milioni 300 bila kusema ni za kulipia nini, then kuna something else going on behind the closed doors ama hatuambiwi, ama wanajua wanachofanya hivyo kama kuna yeyote anayejua hizi dola milioni 300 ni za nini, naeomba anielimishe!.
  10. Kwa akili ya kawaida tuu, mtu unamdai deni la trilioni 450, hazingumzii lolote kuhusu deni hilo, the only way kuli verify ni kwa kuuchenjua huo mchanga, lakini anakuja na zawadi ya dola milioni 300 za kukonyesjea nia njema, kisha anakuomba mchanga wake unaoushikilia!, na wewe unafurahia hii gesture na kumuita "A true Friend"?!... yayah...!.
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
Rejea kuhusu Makinikia
Kuzuia Mchanga wa Dhahabu, Magufuli Anastahili Pongezi. Tusiishie ...
Maendeleo ya kweli TZ Yataletwa na Elimu na ... - JamiiForums
Wataalamu Hawa Wachunguzwe!,Jee Kuna Posibility Walihongwa Kutoa ...
A Compromised Possibility: Iweje Ripoti ya Kamati ya 2 iibukie ...
Kupata Maendeleo ya Kweli, Tanzania Inahitaji Systems Not Dramas ...
Mkapa na Kikwete Walidanganywa na Wakadanganyika!, Magufuli ...
Makinikia: Je, Vyombo Vya Habari Vifukue Makaburi ya Chanzo, Au ...
Ripoti ya kitaalamu kuhusu uchenjuaji wa mchanga wa madini | Page ...
Zita Act Retro-Respectively? Tutavunja Mikataba Yote Iliyopo?, Can ...
Makubaliano yapo wazi kwa mujibu wa taarifa fupi iliyotolewa na Prof Kabudi na Prof Torntom. Shida ipo kwa nyiye manguli wa kutoa taarifa humu mitandoni. Sasa hivi mnashindana kupotosha kila mlichokisikia.
  1. Makubaliano ya kuweka smelter yamo lakini siyo kesho wala mwaka ujao. Hivyo makinikia yataendelea kutoka mpaka mtambo utakapojengwa.Pia wamekubaliana kuwa katika makinikia hayo wao yao ni dhahabu tu madini mengine ni ya serikali. Hivyo kwa makubaliano hayo serikali itakuwa na ufuatiliaji wa makinikia hadi hatua ya mwisho ili ichukue chake. Haya yote yalisemwa na Prof Kabudi lakini sijakusikia ukigusa. Kwa kuwa lengo ni kupotosha endeleeni kujitoa akili.
  2. Dola milion 300 zimetoka kama nia njema ya wao kuwa tayari kwa mazungumzo ya kikodi ambayo kuna mambo mengi pande mbili zinasigana japo yanaukweli cha muhimu ni kupata vielelezo vyake. Kwa kuwa mchakato wake utakuwa mrefu,pade mbili zimekubaliana kuunda kuunda kamati ndogo ya kuangalia madai ya kikodi. haya kayasema Prof Tormton na Mh Magufuli. Kwa kuwa mmeamua kupotosha nalo hili unajifanya hukupata ufafanuzi wake na kutoa taarifa kuwa dola milioni 300 ndio imemaliza mchezo. Huu umekuwa kama mwangwi wa anachokinadi Zito.
 
Pasco kile ambacho unatakiwa kufahamu ni kuwa serikali ni smart sana na wanajua wanachofanya..Kuwapelekea deni la pesa nyingi na vtisho ilikuwa kuwafanya wawe na Adabu, na kitu ambacho Serikali imefanikiwa. Kama wangezuia mchanga tu bila kuwapa invoice ya mpunga mnene wasinge mwayaya..Wakati mwingine unawachekesha mpka wakae sawa. hii strategy nzuri sana. Mtu ambaye unamdai laki mbili unampelekea deni la milioni 50, Lazima akuogope na aje mjadili..anaweza kuingia mkenge akakupa hata milioni 1, ndicho kilichotokea.

Kuwapelekea Invoice ya pesa kubwa kumesaidia kuwatisha na kuweka hoja zet a kutumia sheria mpya ya madini. hata zile ripoti za Uruma na Osoro zilikuwa ni kuwaoesha wao ni wezi duniani..wakawa wadogo, kweli wametikisika. tuwe postive to this.

100% TRUE
 
hata kama ni halisi this is the biggest shame ever.... Kwanini tukakubali haraka without any single chance of resistance/negotiations?..... Well hii ishu tumeliwa sisi tukubali tukatae
Mkuu kwa hiyo wana kubali kuwa zile ripoti za Mruma na Osoro ni feki zilikuwa ni kwa nia ya kuwatisha hawa wazungu lakini sio kilichopo kwenye mchanga
 
Pasco kile ambacho unatakiwa kufahamu ni kuwa serikali ni smart sana na wanajua wanachofanya..Kuwapelekea deni la pesa nyingi na vtisho ilikuwa kuwafanya wawe na Adabu, na kitu ambacho Serikali imefanikiwa. Kama wangezuia mchanga tu bila kuwapa invoice ya mpunga mnene wasinge mwayaya..Wakati mwingine unawachekesha mpka wakae sawa. hii strategy nzuri sana. Mtu ambaye unamdai laki mbili unampelekea deni la milioni 50, Lazima akuogope na aje mjadili..anaweza kuingia mkenge akakupa hata milioni 1, ndicho kilichotokea.

Kuwapelekea Invoice ya pesa kubwa kumesaidia kuwatisha na kuweka hoja zet a kutumia sheria mpya ya madini. hata zile ripoti za Uruma na Osoro zilikuwa ni kuwaoesha wao ni wezi duniani..wakawa wadogo, kweli wametikisika. tuwe postive to this.
Kwa hiyo ndo mnajenga nchi ya walaghai afu mnajisifu
 
Kumbe katika dola milioni 300,hawa jamaa wanatudai dola milioni 175 hivyo wanataka zikatwe kwenye deni ili tulipwe dola milioni 125,hii mbona Kali kuliko!!!

Hawa jamaa mbona hawaweki mambo wazi
 
Mayalla ulimhola? hebu tumia akili kidogo mdogo wangu, unadhani kukaa miezi mitatu na top management ya barrick ni kazi ndogo? Unadhani hizo hoja hazijaongelewa?
 
Wakati Bosi wa Barrick na JPM wanasema itaundwa team ndogo toka pande zote mbili ili kupitia mambo yaliyobaki ikiwamo outstanding taxes payments ambapo ilikuwa ni vigumu na ingechukua muda mrefu sana kupitia receipts na invoices za miaka 17 ulikuwa wapi kusikiliza?
Mkuu Jenerali Ambamba, tusizungumzie hewa, lets be realistic, nani anahitaji receipts, na invoives za miaka 17?, idadi ya containers zote zilizopita tunazo, hadi zile walizificha, kama tulikuwa tunaibiwa kwa kutojua kilichomo ndani ya huo mchanga, tukazishika containers na kuzizuia ili tujue kilichomo, hiyo timu ndogo ya kuangalia outstanding taxes, watakokotoa hiyo tax from what wakati hatujui kilichomo ndani ya huo mchanga?. Kiukweli nitashangaa sana tukiuruhusu ushahidi wa jinsi tunavyoibiwa, kuondoka kwa sababu ya kishika uchumba tuu.

Paskali
 
Back
Top Bottom