Hoteli zenyewe ziko porni kiasi kwamba tuna kosa alternative ya kupata chakula cha bei rahisi, ,inaumiza sana kwa kweliLalamiko kwa abiria sio muda wa kuchimba dawa huo dk 10 .Sasa dk 20 zote za nn? unatutosha Kabisa uliopo..yaani Hawa LATRA mgonjwa anaumwa kichwa unamtibu miguu...lalamiko letu Ni chakula Bei ghali..watu hatufanani vipato.unashushwa hotel hamna hata chakula Cha Bei nafuu..kweli lunch Nile 8,000 au elfu 10 etc? Haya ndio Mambo yakufanyia kazi.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app