Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Wabunge mliomo JF ,jamii inahitaji maelezo juu ya miradi hii iliyoambatanishwa hapa chini ,ilianzishwa lini ,imefikia wapi na nani mhusika Mkuu Serikali au mafisadi.
1) Lake Rukwa Uranium project.
2) North Bahi Uranium Project.
3) Bahi Uranium Project.
4) Kiwira Uranium Project.
5) Njombe Uranium Project.
6) Ruhuhu Uranium Project.
7) Morogoro Uranium Project.
8) Rufiji Uranium Project.
9) Mbinga Uranium Project.
10) Tunduru Uranium Project.
11) Mkuju Uranium Project.
Miradi hiyo kumi namoja hapo kuna lisence zaidi ya mia moja na ukienda kwenye miradi 13 ya dhahabu kuna license kama hamsini ,WaTz wanafaidika vipi na leseni hizi mikataba gani ilitumika kutowa lisence hizi na je leseni zote zina faida kwa Taifa hili masikini japo ni tajiri.
Hivi hayo hapo juu ni utajiri unaochimbuliwa kwa kuambiwa ni project lakini kuna tetesi kuwa uchimbwaji wa Uranium upo na unafanyika ndani ya Tanzania ,wasiwasi nilionao ni moja ya hizo Project hapo juu ambayo imekuwa ikitajwa Kiwira kama mradi wa Dhahabu lakini hapa inaonekana ni mradi wa kubukua Uranium.
Mwenyezi Mungu ametupa utajiri wa Uranium sielewi kwa nini bado Mtz analala gizani.Hata wanyama wetu wangefaidi barabara zote mikoani vijijini na mwituni zingejaa nuru,wacheni kusingizia mvua,mvua imetubeba mpaka inaonekana sasa kuchoka
Hiyo ni miradi kumi na moja iliyochawanyika Tanzania nzima."UK companies have invested about £230 million in Tanzania over the last 11 years..." Katika miaka hii kuminamoja wazungu wanatupa sentensi isemayo Uranium not proven hivyo uhakika wa uchimbaji bado ,Je wabunge wetu mnaosimamia wananchi kuwepo uhakika kuna hitaji muda gani miaka mingapi ,mkizingatia siku hizi hatua za uchunguzi ziko mbele na za kisasa zaidi ,au uhakika wa kuwepo kwa Uranium unahitaji miaka mingapi ? Hizi longolongo za Wazungu wakati wanatuibia kwa kutuimbia mahesabu za uhakika
,natumai wapo WaTz wanaoelewa kabisa ukweli na huenda wamo katika machimbo husika ndani ya mikoa au miji iliyotajwa ,watu hawa watavumilia mpaka lini wakati ukweli kuwa Uranium ipo na inachimbwa na kuchukuliwa.
Nikiwarudia Wabunge wetu ,nawauliza hawa wazalendo wanaoonekana kufuatana na wazungu ndani ya machimbo ni WaTz au ni wa kutoka nchi jirani ila tumefanana kwa rangi.
1) Lake Rukwa Uranium project.
2) North Bahi Uranium Project.
3) Bahi Uranium Project.
4) Kiwira Uranium Project.
5) Njombe Uranium Project.
6) Ruhuhu Uranium Project.
7) Morogoro Uranium Project.
8) Rufiji Uranium Project.
9) Mbinga Uranium Project.
10) Tunduru Uranium Project.
11) Mkuju Uranium Project.
Miradi hiyo kumi namoja hapo kuna lisence zaidi ya mia moja na ukienda kwenye miradi 13 ya dhahabu kuna license kama hamsini ,WaTz wanafaidika vipi na leseni hizi mikataba gani ilitumika kutowa lisence hizi na je leseni zote zina faida kwa Taifa hili masikini japo ni tajiri.
Hivi hayo hapo juu ni utajiri unaochimbuliwa kwa kuambiwa ni project lakini kuna tetesi kuwa uchimbwaji wa Uranium upo na unafanyika ndani ya Tanzania ,wasiwasi nilionao ni moja ya hizo Project hapo juu ambayo imekuwa ikitajwa Kiwira kama mradi wa Dhahabu lakini hapa inaonekana ni mradi wa kubukua Uranium.
Mwenyezi Mungu ametupa utajiri wa Uranium sielewi kwa nini bado Mtz analala gizani.Hata wanyama wetu wangefaidi barabara zote mikoani vijijini na mwituni zingejaa nuru,wacheni kusingizia mvua,mvua imetubeba mpaka inaonekana sasa kuchoka
Hiyo ni miradi kumi na moja iliyochawanyika Tanzania nzima."UK companies have invested about £230 million in Tanzania over the last 11 years..." Katika miaka hii kuminamoja wazungu wanatupa sentensi isemayo Uranium not proven hivyo uhakika wa uchimbaji bado ,Je wabunge wetu mnaosimamia wananchi kuwepo uhakika kuna hitaji muda gani miaka mingapi ,mkizingatia siku hizi hatua za uchunguzi ziko mbele na za kisasa zaidi ,au uhakika wa kuwepo kwa Uranium unahitaji miaka mingapi ? Hizi longolongo za Wazungu wakati wanatuibia kwa kutuimbia mahesabu za uhakika
,natumai wapo WaTz wanaoelewa kabisa ukweli na huenda wamo katika machimbo husika ndani ya mikoa au miji iliyotajwa ,watu hawa watavumilia mpaka lini wakati ukweli kuwa Uranium ipo na inachimbwa na kuchukuliwa.
Nikiwarudia Wabunge wetu ,nawauliza hawa wazalendo wanaoonekana kufuatana na wazungu ndani ya machimbo ni WaTz au ni wa kutoka nchi jirani ila tumefanana kwa rangi.