HABARI ni hii, 79% ya wanandoa wana uhusiano wa kimapenzi nje ya ndoa..

What come first in ur mind utaniuliza SOURCE...!!
Go n search, do simple study ya wanandoa uwajuao, hudhuria semina mbalimbali za HIV/AIDS, etc, so up to 79% ya wana ndoa either both or one of them anauhusiano nje ya ndoa hapa TZ, na mostly married men, ambao ndio hadi 60% wana wenzi nje ya ndoa, je ww uko wapi? Are u safe? Hii ina maana 21% au pungufu ndio waliowatiifu kwa ndoa zao, na chanzo KIKUU, kiunganishi cha mahusiano nje ya ndoa ni SIMU, ukiwacha tabia, simu, simu, kazi kwenu.

Simu mmmhh Simu ????
 
mie siolewi na nikiolewa nitahakikisha mume wangu ni hao 21% ya watu faithful lol

kama mwanamke:

1.jiweke smart/nadhifu wakati wote-uwe unavutia

2.hakikisha ratiba ya tendo la ndoa haipungui kwa vile sijui umezaa watoto majukumu yameongezeka,hakikisha kila anapotaka you are 'ready'...hii inaenda sambamba na kuwa mbunifu kitandani-hudhuria kitchen party,soma vijarida tofauti,browse net 'kuongeza maujuzi'

3.mwanamke jiko,hakikisha ni safi akirudi,pia jitahidi kupika mapishi mbali mbali-ongeza maujuzi humu kny net lol

4.nyama ya ulimi-mpokee mumeo kwa tabasamu na upole,mpe pole akiwa amechoka,mkaribishe chakula kwa maneno mazuri na tabasamu....

5.hudhuria ibada,na katika maombi yako iweke familia yako na mumeo katika maombi-wengine wanawateka waume zetu kwa nguvu za giza,washindweeeeeeeeeeeeeee! lol

****fanya haya yote kwa furaha,sababu ni wajibu wako mwanamke,usiwe na gubu wala ushindani mumeo hatotoka nje kamwe!:smile-big:

Amini Amini nakwambia umenena yampasayo mwanamke apigaye mbio kuingia ndoani!
 
Kwa kweli Mungu aniepushe na watu hawa as wengi wamo ndoani wakija nje wanaanza kwa kuficha
 
What come first in ur mind utaniuliza SOURCE...!!
Go n search, do simple study ya wanandoa uwajuao, hudhuria semina mbalimbali za HIV/AIDS, etc, so up to 79% ya wana ndoa either both or one of them anauhusiano nje ya ndoa hapa TZ, na mostly married men, ambao ndio hadi 60% wana wenzi nje ya ndoa, je ww uko wapi? Are u safe? Hii ina maana 21% au pungufu ndio waliowatiifu kwa ndoa zao, na chanzo KIKUU, kiunganishi cha mahusiano nje ya ndoa ni SIMU, ukiwacha tabia, simu, simu, kazi kwenu.
Kwani umesema wewe uko wapi?
 
I envy how naive you are...

Mtu mwenyewe hajaonja wala hayuko katika ndoa would never understand. Wewe ni mwanamke tafadhali hata kama hujaolewa observe maisha ya wanawake waloolewa. Hizo kauli ulizoongea ndo wale wanaofikiri they are so exceptional kua yeye mwanaume akimpata kwake anakua amefika; akifikiri kua ukifanya hayo mambo ulotaja basi everything will be OK - which is kujidanganya.

bibi fanya hayo niliyokuambia,uone kama mumeo atatoka nje?akitoka,he doesnt worth your time/undying love.:frusty:
 
<font size="4"><font color="darkred">bibi fanya hayo niliyokuambia,uone kama mumeo atatoka nje?akitoka,he doesnt worth your time/undying love.<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/frusty.gif" border="0" alt="" title="Frusty" smilieid="189" class="inlineimg" /></font></font>
<br />
<br />
Hujaolewa km ulivyosema wewe kwa sasa ushauri wako hauna mvuto
 
<br />
<br />
Hujaolewa km ulivyosema wewe kwa sasa ushauri wako hauna mvuto

hauna mvuto kwenu nyie,bibi haambiliki!otherwise sioni kama nikiolewa ushauri wangu ndio utapendeza,nikikuuliza hapa HOW utaniambia? au utanipa jibu tu la mkato 'olewa kwanza!?:bored:
 
Kwa kuwa umesema haujaolewa. Ushauri wako naomba uweke kwanza alafu ukiolewa baada ya miaka sita ya ndoa, njoo nao tena JF.

tatizo baada ya miaka sita ya ndoa unajidai una majukumu mengi,unachoka huwezi kutimiza majukumu yako tena,nyumba kubwa huu ushauri ninaoutoa ndio nitakautoa baada ya kuolewa na kuwa na miaka sita ndoani-the key to successful marriage is to be the 'same' person he married years ago,sio unaenda ukibadilika,na kuwa mtu tofauti na yule aliyekutana naye mwanzoni obviously atatafuta mtu mwingine mwenye qualities zako za mwanzo-ni ushauri tu you can take or leave it......:frusty:

 
Pole mdogo wangu AD,

Tuendelee tu kujadili...Kwangu mimi nafurahia sana takwimu kama hizi kwani ni vizuri kujua kuliko kujikalia tu kama vipofu.

Niwemo kati ya hao 79% au la, jambo la msingi ni kuhakikisha kuwa I am responsible and caring to partner! Natimiza wajibu wangu 100%.

babu shikamoo! Umesomeka hapo kwenye red........................
 
mie siolewi na nikiolewa nitahakikisha mume wangu ni hao 21% ya watu faithful lol

kama mwanamke:

1.jiweke smart/nadhifu wakati wote-uwe unavutia

2.hakikisha ratiba ya tendo la ndoa haipungui kwa vile sijui umezaa watoto majukumu yameongezeka,hakikisha kila anapotaka you are 'ready'...hii inaenda sambamba na kuwa mbunifu kitandani-hudhuria kitchen party,soma vijarida tofauti,browse net 'kuongeza maujuzi'

3.mwanamke jiko,hakikisha ni safi akirudi,pia jitahidi kupika mapishi mbali mbali-ongeza maujuzi humu kny net lol

4.nyama ya ulimi-mpokee mumeo kwa tabasamu na upole,mpe pole akiwa amechoka,mkaribishe chakula kwa maneno mazuri na tabasamu....

5.hudhuria ibada,na katika maombi yako iweke familia yako na mumeo katika maombi-wengine wanawateka waume zetu kwa nguvu za giza,washindweeeeeeeeeeeeeee! lol

****fanya haya yote kwa furaha,sababu ni wajibu wako mwanamke,usiwe na gubu wala ushindani mumeo hatotoka nje kamwe!:smile-big:

wamama tulioolewa wote tunayajua hayo, na wengi wanayazingatia sana......................... cha ajabu kuna hiyo 79% jiulize...............
 
<br />
<font size="4"><font color="darkred">hauna mvuto kwenu nyie,bibi haambiliki!otherwise sioni kama nikiolewa ushauri wangu ndio utapendeza,nikikuuliza hapa HOW utaniambia? au utanipa jibu tu la mkato 'olewa kwanza!?<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/bored.gif" border="0" alt="" title="Bored" smilieid="135" class="inlineimg" /></font></font>
<br />
<br />
Hongera sana!!...
 
Wewe unadhani kubadilika ni tabia tu mdogo wangu ndio maana nimekwambia subiri dear. Hapo ulipo labda una english figure, ukiolewa ukazaa watoto wawili hukawii kuwa nakitambi sasa can you control that?

Can you force someone to be attracted to you forever? And when I say forever I mean with the same passion as the first time he set an eye on you.

Are you sure that all those women that are in marriage conflicts don't play their part?

DO you know sometimes the most irresponsible wife is the most loved one?

Ndio maana nakwambia fanya practicle usitegemee theories. Na only way ya kufanya experiment ku test theory zako ni kwa kuolewa.

Na kwambia kwa nia njema tu kwa kuwa hizo theory ulizo leta hapo hakuna aliye kwenye ndoa asiyezijua. Tatizo ni are they applicable and if applied do they always lead to the same results that you are claiming?

And a simple proof makungwi wenyewe wana matatizo na ndoa zao na wengine ni wamehachwa kabisa.



tatizo baada ya miaka sita ya ndoa unajidai una majukumu mengi,unachoka huwezi kutimiza majukumu yako tena,nyumba kubwa huu ushauri ninaoutoa ndio nitakautoa baada ya kuolewa na kuwa na miaka sita ndoani-the key to successful marriage is to be the 'same' person he married years ago,sio unaenda ukibadilika,na kuwa mtu tofauti na yule aliyekutana naye mwanzoni obviously atatafuta mtu mwingine mwenye qualities zako za mwanzo-ni ushauri tu you can take or leave it......:frusty:
 
Back
Top Bottom