Ha ha uongo kwenye ndoa mwingi mno sijui nini kimetokea wajameni? Kha!
Vipi kama mzizi wa tatizo ni huyo mtu wako? Maana leo utamkoromea yeye na huyo mwenzake...kesho huyo mtu wako atakuwa na mwingine tena maana yule wa jana tayari ushamchimbia biti na yeye huenda kaamua kutafuta ustaarabu mwingine. Mwisho wa siku utakoromea wangapi? Huoni kwamba hapo tatizo kuu unalo mikononi mwako?
Wengine tunapenda kudili na tatizo kuliko by-product ya tatizo.
That's nothing compared to where I work!
Ntawakoromea wote bila kuchoka hata kama waifika mia, kwani ni kazi yangu kumlinda nimpendae. Na siku nikichoka kukoroma basi ajue its over between us. As long as we are together I will keep on fighting!
<br />Kumbe na wewe umestukia eeeh? Nilidhani mimi tu....
hahahaaaaaaaaaa... hebu usinifanye niache pombe!!!!!!!!That's nothing compared to where I work!
<br />What kind of work? Nasikia (sina uhakika) bankers ni watulivu compared na watu wengine kwa kuwa wako extra budy. Kukaa bila kazi kunachangia tabia za kizinzi.
desi, kumbe weye ilo olewa siyo, hahahaaaaaaaaaa.... surely you must be part of statistics:bored:<br />
<br />
Halafu watu wanaona kawaid kabisa ningekuwa sina Mume nisingeolewa kuumiza roho tu kha!...
<br />desi, kumbe weye ilo olewa siyo, hahahaaaaaaaaaa.... surely you must be part of statistics<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/bored.gif" border="0" alt="" title="Bored" smilieid="135" class="inlineimg" />
hahahaaaaaaaaaa... hebu usinifanye niache pombe!!!!!!!!
Do you remember a couple of weeks ago I asked you if you have a clone?
I bow down to your passion and I am for real. Do they make your kind anymore? Coz I love me a woman who fights for hers with a passion.
Way to go sista. Your man is among the luckiest in the whole wide world.
mie siolewi na nikiolewa nitahakikisha mume wangu ni hao 21% ya watu faithful lol
kama mwanamke:
1.jiweke smart/nadhifu wakati wote-uwe unavutia
2.hakikisha ratiba ya tendo la ndoa haipungui kwa vile sijui umezaa watoto majukumu yameongezeka,hakikisha kila anapotaka you are 'ready'...hii inaenda sambamba na kuwa mbunifu kitandani-hudhuria kitchen party,soma vijarida tofauti,browse net 'kuongeza maujuzi'
3.mwanamke jiko,hakikisha ni safi akirudi,pia jitahidi kupika mapishi mbali mbali-ongeza maujuzi humu kny net lol
4.nyama ya ulimi-mpokee mumeo kwa tabasamu na upole,mpe pole akiwa amechoka,mkaribishe chakula kwa maneno mazuri na tabasamu....
5.hudhuria ibada,na katika maombi yako iweke familia yako na mumeo katika maombi-wengine wanawateka waume zetu kwa nguvu za giza,washindweeeeeeeeeeeeeee! lol
****fanya haya yote kwa furaha,sababu ni wajibu wako mwanamke,usiwe na gubu wala ushindani mumeo hatotoka nje kamwe!:smile-big:
<br />
Mmmhhh na wataalamu wa IT je? Tabia haina kazi, kabila, urefu nk
mie siolewi na nikiolewa nitahakikisha mume wangu ni hao 21% ya watu faithful lol
kama mwanamke:
1.jiweke smart/nadhifu wakati wote-uwe unavutia
2.hakikisha ratiba ya tendo la ndoa haipungui kwa vile sijui umezaa watoto majukumu yameongezeka,hakikisha kila anapotaka you are 'ready'...hii inaenda sambamba na kuwa mbunifu kitandani-hudhuria kitchen party,soma vijarida tofauti,browse net 'kuongeza maujuzi'
3.mwanamke jiko,hakikisha ni safi akirudi,pia jitahidi kupika mapishi mbali mbali-ongeza maujuzi humu kny net lol
4.nyama ya ulimi-mpokee mumeo kwa tabasamu na upole,mpe pole akiwa amechoka,mkaribishe chakula kwa maneno mazuri na tabasamu....
5.hudhuria ibada,na katika maombi yako iweke familia yako na mumeo katika maombi-wengine wanawateka waume zetu kwa nguvu za giza,washindweeeeeeeeeeeeeee! lol
****fanya haya yote kwa furaha,sababu ni wajibu wako mwanamke,usiwe na gubu wala ushindani mumeo hatotoka nje kamwe!:smile-big:
Do you remember a couple of weeks ago I asked you if you have a clone?
I bow down to your passion and I am for real. Do they make your kind anymore? Coz I love me a woman who fights for hers with a passion.
Way to go sista. Your man is among the luckiest in the whole wide world.