The Signal
Member
- May 26, 2022
- 10
- 5
Habarini naombeni mnipokee mimi ni mgeni,na pia naomba ushirikiano wenu.
Asanteh mwenyekiti wa kamati ya mapokezi,asante sanaKaribu sana Mimi ndo mwenyekiti wa kamati ya mapokezi.
Kuna popoma mmoja anitwa GENTAMYCINE atakuja baada ya kupooza machungu ya kufunguliwa na feitoto huko Mwanza maana yeye ndo afisa habari za michezo humu ndani.