habari ndio hii

Habari yenyewe iko wapi sasa? Nyie ndiyo munaotuleteaga Breaking news za mmasai kavaa shuka,kifupi unaelekea kuwa ni mmoja wa wakuda watarajiwa wa jukwwa hili. Ok karibu sana dogo.
 
aaargh, yaani kumbe hii ndo habari. Basi kumbe sio habari.
usinipotoshe siku nyingine ili nifungue post nisiyo na mpango nayo, ila karibu JF, na usisahau kusoma vigezo na masharti kabla ya kupost tena tafadhali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom