anonymousafrica
JF-Expert Member
- Aug 24, 2016
- 611
- 639
Habari mwana au wana JF, baada ya masomo yangu shahada ya kwanza ya mawasiliano ya umma na uandishi wa habari nimeweza kutoka na utaalam fulani wa kuandika proposals mbalimbali.
Hapa karibuni nimeandika proposal itakayoweza kunisaidia kuanzisha jarida la wanawake. Jarida lenye mambo mengi siwezi elezea yote lakini dhumuni kubwa ni kuandika taarifa za wanawake mbalimbali ambao ni wawajibikaji.
Hii itasaidia kuamsha wanawake wengine ambao wamekatazwa.hawaoni njia au wanaona hawastahili kufanya shughuli zozote za uzalishaji. Wanafunzi, wanawake kwenye taasisi na waliojiajiri pia.
Project yangu imeisha (kimaandishi) mpaka ''budget'' ipo vizuri lakini sina sehem ya kuiwasilisha kwakua idea ya kufanya kitu ninayo ila uwezo wa kuanzisha na kusimamia peke yangu siwezi.
Uwezo wangu ni kurecord na kukusanya datakudesign jarida na kupangilia masuala yotekiufupi utekelezaji kwangu sio shida. Shida ni gharama .
Ahsante naomba msaada wako
Hapa karibuni nimeandika proposal itakayoweza kunisaidia kuanzisha jarida la wanawake. Jarida lenye mambo mengi siwezi elezea yote lakini dhumuni kubwa ni kuandika taarifa za wanawake mbalimbali ambao ni wawajibikaji.
Hii itasaidia kuamsha wanawake wengine ambao wamekatazwa.hawaoni njia au wanaona hawastahili kufanya shughuli zozote za uzalishaji. Wanafunzi, wanawake kwenye taasisi na waliojiajiri pia.
Project yangu imeisha (kimaandishi) mpaka ''budget'' ipo vizuri lakini sina sehem ya kuiwasilisha kwakua idea ya kufanya kitu ninayo ila uwezo wa kuanzisha na kusimamia peke yangu siwezi.
Uwezo wangu ni kurecord na kukusanya datakudesign jarida na kupangilia masuala yotekiufupi utekelezaji kwangu sio shida. Shida ni gharama .
Ahsante naomba msaada wako