Lokissa
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 7,446
- 2,490
Wana JF nimesoma ktk website ya IPP media kuwa serikali imewatangaza wamiliki wa Dowans na namna watakavolipwa ila mtandao wenyewe umetoa tu heading.naomba kwa mlio TZ mtujuze ni nani hao wamiliki nimetafuta website zote sijaona bado na redio pekee ya Kitanzania inayopatikana ktk net ni radio maria tu ambao leo mchana hawajajiunga na TBC kwa taarifa ya habari. Nipenu update tafadhali.