Jana jioni nilikuwa kijijini kwetu. Nikiwa namshauri mdogo wangu alihitimu kidato cha sita nini akasome Chuo kikuu mara ujumbe unaingia kwenye simu yangu
"HAKUNA AJIRA MPYA WALA KUPANDA VYEO MWAKA HUU, AJIRA ZILIZOPO NI UALIMU NA UDAKTARI TU".
Ujumbe ulitoka kwa rafiki yangu ambaye yupo kwenye reliable source of news.
Sababu ni zilezile, ukata ulioikumba serikali. Hali ni mbaya kuliko tunavyofikiri. Kwa watakaoshindwa kupanda vyeo mwaka huu inaweza isiwe tatizo ila waombaji wapya wa kazi.... Sijui!
"HAKUNA AJIRA MPYA WALA KUPANDA VYEO MWAKA HUU, AJIRA ZILIZOPO NI UALIMU NA UDAKTARI TU".
Ujumbe ulitoka kwa rafiki yangu ambaye yupo kwenye reliable source of news.
Sababu ni zilezile, ukata ulioikumba serikali. Hali ni mbaya kuliko tunavyofikiri. Kwa watakaoshindwa kupanda vyeo mwaka huu inaweza isiwe tatizo ila waombaji wapya wa kazi.... Sijui!