Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
hizi ni habari za jikoni kabisa. kutoka kwa mtu wa mitaa ya Igunga. sasa hivi anahudhuria mkutano wa Kamanda Mbowe.
jamaa anadai CCM wanaweza kushinda ila kwa mbinu.
Anasema Chadema kinajaa vijana kwa sana. Anadai vijana wengi hawana shahada za kura, lakini hajafanya utafiti. Anadai vijana wanaohudhuria mikutano ya CDM baadhi yao ni wahamiaji kutoka wilaya na mikoa jirani.
Wa Jikoni anaendelea kunitonya kuwa Rostam ni kweli hayupo Igunga. Na kuna taarifa kwamba 'amebadilika. anaisaidia CDM'. patamu.
Wa Jikoni ananiambia bado hajaamua kama apigie kura chama gani, ila nimemwambia 2015 naenda kupigania Jimbo langu la Songwe. Akaniuliza kwa tiketi gani? Simpo: Chadema. Nadhani Wa Jikoni anajua rafiki yake ninataka apigie chama gani. Anampenda Mahona wa CUF lakini hata yeye anakiri hana nafasi ya kushinda.
Kuhusu Mwalimu Kashindye, Wa Jikoni anasema Mwalimu si mzuri wa kujieleza lakini vijana wa Igunga wanadai lazima ashinde kwa sababu yuko upande wa 'Majembe'. Wa Jikoni bwana amenifurahisha. Kumbe Chadema Igunga hawaitwi Makamanda, ni Majembe.
Haya bwana Wa Jikoni. Nitakutafuta baadaye. Nilikuwa nafikiri kuweka namba yako kwa wanajamvi hapa, lakini nahofia nzi wataanza kukupeleleza ni nani aliyekupigia simu tangu leo asubuhi.
Malizia mkutano wako na Jembe Mbowe, then tutazungumza tena kuhusu maswala mengine ikiwa ni pamoja na turufu ya udini inayotumiwa na Magamba.
Kali kutoka kwa Wa Jikoni: 'Mtikila naye anamkutano leo.'
Updates:
1. udini ni turufu feki. imefeli. Leo nasikia baadhi ya waislam wataandamana kupinga mama kimario kuvuliwa mtandio.
2. chadema wameleta walinzi wa kura. ni wasomi. walikotoka hakujulikani. haibiwi mtu.
3. watu wanataka mabadiliko, hakuna shaka Chadema kitashinda.
Si maneno yangu. Ni nikuu kutoka kwa Wa Jikoni.
jamaa anadai CCM wanaweza kushinda ila kwa mbinu.
Anasema Chadema kinajaa vijana kwa sana. Anadai vijana wengi hawana shahada za kura, lakini hajafanya utafiti. Anadai vijana wanaohudhuria mikutano ya CDM baadhi yao ni wahamiaji kutoka wilaya na mikoa jirani.
Wa Jikoni anaendelea kunitonya kuwa Rostam ni kweli hayupo Igunga. Na kuna taarifa kwamba 'amebadilika. anaisaidia CDM'. patamu.
Wa Jikoni ananiambia bado hajaamua kama apigie kura chama gani, ila nimemwambia 2015 naenda kupigania Jimbo langu la Songwe. Akaniuliza kwa tiketi gani? Simpo: Chadema. Nadhani Wa Jikoni anajua rafiki yake ninataka apigie chama gani. Anampenda Mahona wa CUF lakini hata yeye anakiri hana nafasi ya kushinda.
Kuhusu Mwalimu Kashindye, Wa Jikoni anasema Mwalimu si mzuri wa kujieleza lakini vijana wa Igunga wanadai lazima ashinde kwa sababu yuko upande wa 'Majembe'. Wa Jikoni bwana amenifurahisha. Kumbe Chadema Igunga hawaitwi Makamanda, ni Majembe.
Haya bwana Wa Jikoni. Nitakutafuta baadaye. Nilikuwa nafikiri kuweka namba yako kwa wanajamvi hapa, lakini nahofia nzi wataanza kukupeleleza ni nani aliyekupigia simu tangu leo asubuhi.
Malizia mkutano wako na Jembe Mbowe, then tutazungumza tena kuhusu maswala mengine ikiwa ni pamoja na turufu ya udini inayotumiwa na Magamba.
Kali kutoka kwa Wa Jikoni: 'Mtikila naye anamkutano leo.'
Updates:
1. udini ni turufu feki. imefeli. Leo nasikia baadhi ya waislam wataandamana kupinga mama kimario kuvuliwa mtandio.
2. chadema wameleta walinzi wa kura. ni wasomi. walikotoka hakujulikani. haibiwi mtu.
3. watu wanataka mabadiliko, hakuna shaka Chadema kitashinda.
Si maneno yangu. Ni nikuu kutoka kwa Wa Jikoni.