Eng. Y. Bihagaze
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 1,488
- 908
CUF.. CUF Keep on CUF.. Nawashauri CUF kijizatiti zaidi wasikate tamaa. Nimefurahishwa na Kitendo Chenu Cha Kujitutumua na Kurusha CHOPAA ya ..(..) ingawa mnaikaimu ila kama yenu vile.... ni bidii kwa kweli.. jamani sikieni tu, Kukodi Helcopter Kutwa si mchezo.. kama unabisha kawauliza Magamba watawapa somo.. CDM wao Wanamiliki CHOPAA zao, wamezilebo kabisa CHADEMA.. yaani wababa na wamama wale wamejipanga kikazi zaidi.. wanatisha..
Na kwamba HATAKAMA CCM Watashinda IGUNGA lakini 2015 ni wazi hawatakuwepo madarakani, CDM au Chama kingine Chochote kitatwaa Dola, huo Ndio upepo wa kisiasa Duniani unavyokwenda, huwezi kukinzana na upepo. so CUF wanaweza kuwa wapinzaini wakuu.. kwaivo CUF msimsikilize Magufuli, si mwanasiasa huyo, ni mhandisi anayelazimishwa kufanya siasa.. Kupanda Punda ingawa Ilikuwa Faulo ila mazee mezeeni tu.. keep on
Na kwamba HATAKAMA CCM Watashinda IGUNGA lakini 2015 ni wazi hawatakuwepo madarakani, CDM au Chama kingine Chochote kitatwaa Dola, huo Ndio upepo wa kisiasa Duniani unavyokwenda, huwezi kukinzana na upepo. so CUF wanaweza kuwa wapinzaini wakuu.. kwaivo CUF msimsikilize Magufuli, si mwanasiasa huyo, ni mhandisi anayelazimishwa kufanya siasa.. Kupanda Punda ingawa Ilikuwa Faulo ila mazee mezeeni tu.. keep on