Habari kama hizi hupendwa na serikali yetu; Machinga, bodaboda Ilala wamfagilia Rais Magufuli

radika

JF-Expert Member
Jul 15, 2014
20,427
32,191



KUNDI la wafanyabiashara ndogo maarufu machinga na lile la waendesha pikipiki maarufu bodaboda katika wilaya ya Ilala, wamemuomba Rais John Magufuli kutosikiliza kelele za wanaopinga jitihada zake, kwani hawana uzalendo kwa taifa lao.
Makundi hayo yalitoa ujumbe huo jana katika risala iliyosomwa na Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Wafanyabiashara ndogo, Namoto Namoto mbele ya mgeni rasmi, Waziri wa Madini, Angella Kairuki walipokusanyika kumpongeza Rais Magufuli katika jitihada zake mbalimbali alizozifanya tangu aingie madarakani miaka miwili iliyopita.

“Tunamuomba Rais asisikilize kelele za watu wanaombeza kwani wengi wao hawana uchungu na uzalendo kwa taifa lao, sisi wananchi wanyonge daima tuko pamoja naye bega kwa bega,” alisema. Walisema Rais Magufuli ni mzalendo namba moja katika kupigania maslahi ya wanyonge na taifa kwa ujumla.

“Sisi wananchi wanyonge tumeamua kupaza sauti kama ishara ya kuunga mkono jitihada zote ulizozifanya katika nchi yetu katika sekta mbalimbali,” alisema. Alitaja baadhi ya jitihada zilizofanywa na Rais kuwa ni pamoja na kubaini madudu yaliyokuwa yakitendeka katika sakata la makinikia na pia Kampuni ya uchimbaji ya Barrick Gold Mining kukukubali kuilipa serikali ya Tanzania Sh bilioni 700 kwa udanganyifu walioufanya kwenye mchanga wa madini.


Chanzo habari leo.
 



KUNDI la wafanyabiashara ndogo maarufu machinga na lile la waendesha pikipiki maarufu bodaboda katika wilaya ya Ilala, wamemuomba Rais John Magufuli kutosikiliza kelele za wanaopinga jitihada zake, kwani hawana uzalendo kwa taifa lao.
Makundi hayo yalitoa ujumbe huo jana katika risala iliyosomwa na Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Wafanyabiashara ndogo, Namoto Namoto mbele ya mgeni rasmi, Waziri wa Madini, Angella Kairuki walipokusanyika kumpongeza Rais Magufuli katika jitihada zake mbalimbali alizozifanya tangu aingie madarakani miaka miwili iliyopita.

“Tunamuomba Rais asisikilize kelele za watu wanaombeza kwani wengi wao hawana uchungu na uzalendo kwa taifa lao, sisi wananchi wanyonge daima tuko pamoja naye bega kwa bega,” alisema. Walisema Rais Magufuli ni mzalendo namba moja katika kupigania maslahi ya wanyonge na taifa kwa ujumla.

“Sisi wananchi wanyonge tumeamua kupaza sauti kama ishara ya kuunga mkono jitihada zote ulizozifanya katika nchi yetu katika sekta mbalimbali,” alisema. Alitaja baadhi ya jitihada zilizofanywa na Rais kuwa ni pamoja na kubaini madudu yaliyokuwa yakitendeka katika sakata la makinikia na pia Kampuni ya uchimbaji ya Barrick Gold Mining kukukubali kuilipa serikali ya Tanzania Sh bilioni 700 kwa udanganyifu walioufanya kwenye mchanga wa madini.


Chanzo habari leo.
Sasa mbona na wewe unazidi kumfagilia JPM kwa kutuhabarisha?
 
mimi mwenyewe nampenda sana magufuli kwa kupigania wanyonge..

zamani wamachinga ambao ni wazawa wanafukuzwa na mgambo huku wageni barrick wananyenyekewa...

awamu ya magu wamachinga wanatamba.. wageni wanakomaliwa waache wizi
 
mimi mwenyewe nampenda sana magufuli kwa kupigania wanyonge..

zamani wamachinga ambao ni wazawa wanafukuzwa na mgambo huku wageni barrick wananyenyekewa...

awamu ya magu wamachinga wanatamba.. wageni wanakomaliwa waache wizi
Wezi wamekunywa juice miezi mitatu pale ikulu wanadiscuss wakatupa kishikia uchumba. Ingekuwa ni binti yako baada ya miezi mitatu ya majadiliano mume mtarajiwa anakupa 0.015% ya mahari ungejisikiaje
 
Bodaboda hawawezi kua na akili nzuri, tank la mafuta lipo mbele hivyo wanayavuta kila kukicha.
Hao machinga nao ni wale wale tu mabogasi.
 



KUNDI la wafanyabiashara ndogo maarufu machinga na lile la waendesha pikipiki maarufu bodaboda katika wilaya ya Ilala, wamemuomba Rais John Magufuli kutosikiliza kelele za wanaopinga jitihada zake, kwani hawana uzalendo kwa taifa lao.
Makundi hayo yalitoa ujumbe huo jana katika risala iliyosomwa na Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Wafanyabiashara ndogo, Namoto Namoto mbele ya mgeni rasmi, Waziri wa Madini, Angella Kairuki walipokusanyika kumpongeza Rais Magufuli katika jitihada zake mbalimbali alizozifanya tangu aingie madarakani miaka miwili iliyopita.

“Tunamuomba Rais asisikilize kelele za watu wanaombeza kwani wengi wao hawana uchungu na uzalendo kwa taifa lao, sisi wananchi wanyonge daima tuko pamoja naye bega kwa bega,” alisema. Walisema Rais Magufuli ni mzalendo namba moja katika kupigania maslahi ya wanyonge na taifa kwa ujumla.

“Sisi wananchi wanyonge tumeamua kupaza sauti kama ishara ya kuunga mkono jitihada zote ulizozifanya katika nchi yetu katika sekta mbalimbali,” alisema. Alitaja baadhi ya jitihada zilizofanywa na Rais kuwa ni pamoja na kubaini madudu yaliyokuwa yakitendeka katika sakata la makinikia na pia Kampuni ya uchimbaji ya Barrick Gold Mining kukukubali kuilipa serikali ya Tanzania Sh bilioni 700 kwa udanganyifu walioufanya kwenye mchanga wa madini.


Chanzo habari leo.

Wako watakaosema hawa "hawajitambui"....hahahahahahahaha....Ili uonekane kuwa "unajitambua" eti ni lazima upinge kila kinachofanwa na serikali
 
Wezi wamekunywa juice miezi mitatu pale ikulu wanadiscuss wakatupa kishikia uchumba. Ingekuwa ni binti yako baada ya miezi mitatu ya majadiliano mume mtarajiwa anakupa 0.015% ya mahari ungejisikiaje
Mbona hicho mnachosema kishika uchumba bado?yaani watanzania kudanganywa kama watoto tu
 
mimi mwenyewe nampenda sana magufuli kwa kupigania wanyonge..

zamani wamachinga ambao ni wazawa wanafukuzwa na mgambo huku wageni barrick wananyenyekewa...

awamu ya magu wamachinga wanatamba.. wageni wanakomaliwa waache wizi
Ujui ulisemalo!
 
Back
Top Bottom