:cool2: nawapenda wote humu ndani :cool2:
ha haa haaaaaaa, no comments!!!Mmh hili jina ni la kihindi hivyo tusimshangae kwanini kakosea spellings hapo. Nadhan lafudhi ya kihindi tu hiyo
kwahiyo?:cool2: nawapenda wote humu ndani :cool2:
kwahiyo?
inabidi afafanue zaidi. anatupenda kivipi? wengine hili neno kupenda tuko sensitiv nalo sana bana!Dah swali gumu hilo kloro umekuwaje tena
inabidi afafanue zaidi. anatupenda kivipi? wengine hili neno kupenda tuko sensitiv nalo sana bana!
Umekosea njia rafiki yangu kusoma hujui hata picha nazo huwezi kuangalia
wengine hili neno kupenda tuko sensitiv nalo sana bana!
nambie tu, hapo juu nilikuwa natania tunilitaka nikwambie nakupenda ila ngoja niache nisije nikakuharibia hali ya hewa ya mwili bure.