<br />hahaa hili jamvi na wangoni halijambo! wakati wa uchumba na my wife wangu nilikuwa napata shida sana, wife wangu akiwaambia mashosti zake leo mchumba wangu anakuja basi wanakusanyika hapo kibao eti tumwone huyo mngoni! kuna mmoja hadi alifikia kusema jina lngu linafanana na la boyfriend wake so my wife eti asitishe uchumba mpaka anione kwanza kisa eti mngoni wake bd anamhitaji alipokuja kuta sie mie wake eti akaomba msamaha. wengine wakawa wanamtisha my wife eti unawajua wangoni wewe shauri yako!!! sie tunajua mambo bana
zitakuja tu.. hata mpapai ukipanda hauanzi kuzaa mapapai hapo hpoJamaniiii,mbona mimi mngoni,,,,,,lakin hizo sifa sina????au hadi UZALIWE SONGEA????
<br /><br /><br />
<br /><br />
mwenzangu unazo hizo sifa za mngoni???
nilisikia eti kwa jinsi hawa jamaa wangoni walvyo noma hata wakifa wanaume huzikwa sehemu tofauti na wanawake, wanaume huzikwa bondeni na wanawake milimani kuhofia mizimu ya wanaume isiamke na kwenda kusumbua ya wanawake kweli hawa jamaa ni noumaaa
hahaa hili jamvi na wangoni halijambo! wakati wa uchumba na my wife wangu nilikuwa napata shida sana, wife wangu akiwaambia mashosti zake leo mchumba wangu anakuja basi wanakusanyika hapo kibao eti tumwone huyo mngoni! kuna mmoja hadi alifikia kusema jina lngu linafanana na la boyfriend wake so my wife eti asitishe uchumba mpaka anione kwanza kisa eti mngoni wake bd anamhitaji alipokuja kuta sie mie wake eti akaomba msamaha. wengine wakawa wanamtisha my wife eti unawajua wangoni wewe shauri yako!!! sie tunajua mambo bana
nilisikia eti kwa jinsi hawa jamaa wangoni walvyo noma hata wakifa wanaume huzikwa sehemu tofauti na wanawake, wanaume huzikwa bondeni na wanawake milimani kuhofia mizimu ya wanaume isiamke na kwenda kusumbua ya wanawake kweli hawa jamaa ni noumaaa
Kweli?Hata mchaga siku hizi hela inafika
watani zao wanadai eti ukimkabidhi pesa afikishe sehemu itafika kamili pasipo kuchakachuliwa lakini sio mwanamke
Duh! hawa wasongea nouma unaambiwa! niulizeni mimi nateseka