Gymkhana Yaripuliwa, Yachomwa Moto.

X-PASTER

JF-Expert Member
Feb 12, 2007
11,610
1,809
Gymkhana Yaripuliwa, Yachomwa Moto.

Bar Maarufu 'Gymkhana' maisara na kikwajuni. Jumatano magharibi imechomwa moto na watu wasiyojulikana. lakini inasemekana watu wanne waliyokuwa wamevalia kanzu wakiwa na mapanga na mabomu ya petrol,walivamia bar hiyo wakati wa futari. wavamia na kuanza kutupa moto, na kusababisha walevi kibao waliokuwa wanalewa na kula kwenda mbio. Bar yote imeunguwa moto. hii tukio la nne ndani ya mwezi mmoja, na serikali wiki iliyopita ilionya watu wasijiachiye kwa kula na kunywa pombe hadharani.


source: mzalendo.net
 
Maoni Baadhi ya Wasomaji:

mshauri2 said:
25/08/2011

HII HAIKUBALIKI KABISA SIO NJIA NZURI YA KUTATUA MATATIZO. KAMA KWELI TUNANIA YA KUONDOSHA ULEVI BASI TUZUIE BAR KABLA HAIJAJENGWA AU KABLA HAIJAFUNGULIWA.

HAIPENDEZI KWELI TENA INACHUKIZA KUONA BAR NDANI YA MITAA. ILA SISI WAZANZIBARI NI WAONGO, MAANA HIZO BAR ZINAPATA HIZO POMBE KUTOKA KATIKA MAGHALA YA WAHINDI AMBO WAKO CHICHI YA NYUMBA ZETU NA MISIKITI MBONA HAWAAMBIWI KITU.

TUACHE UNAFIKI, UKITAKA KUUA MTI UKATE MIZIZI SASA TUNAUA MATAWI ILA MZIZI AMBAO NI WA KIHINDI TUNAUACHIA.

DARAJANI KUNA MAGHALA MAWILI YA WAHINDI YANAUZA POMBE KALI HADHARANI MAGARI YANAPAKIA MAGARI YANASHUSHA NYOTE KINYA HATA KIBIRITI HAMUWAONESHI.

HIVI SASA NENDENI SI RAMADHANI WANAUZA POMBE KWA JUMLA MCHANA MIKOKOTENI IMEFUNGA NJIA INAPAKIA POMBE.

SISI TUACHE UNAFIKI HATUNA NIA YA KWELI WAKUWAPA ADHABU TUNACHAGUA, WAHINDI KINYA ILA WATANGANYIKA NDO MUNAWAADHIBU. MUHINDI MWENYE GHALA NA MTANGANYIKA ANAEKUNYWA NANI ZAIDI, TUWE NA NIA YA DHATI NDUGUZANGU………!!!!!!

khadijakojo said:
25/08/2011
Kidini nini wanafanya it is okey "maana kuna msemo katika dini kama unakiona kitendo kiovu basi kiondowe kama unao uwezo kama huna basi guina guna uuchune moyoni " viongozi wetu wa serikali wao hawana dini sisi wananchi dini yetu ni uislamu sasa is us against themmaana wao wao viongozi ndio walotuweka sisi pabaya katika majanga tofauti na ndio walioifikisha zanzibar mrama kwa ulafi wao kama mkoloni aliondolewa kwa mapanga na gadhafi kwa mitutu kwanini iwe vibaya kuondoa mabar kwa moto dawa ya moto ni moto tukisubiri viongozi wetu wafanye jua litatua kama lilivyo tua la muungano na hili solution ipo njia

Abaazanzibar said:
25/08/2011

Kwanza niwapongeze hawa waliochoma moto Bar, Kwani kwenye uislamu inakubalika kuondowa uovu kwa mikono kwani naona wahusika wameshindwa kudhibiti. na ama kama kuna wahindi wanauza pombe kwa jumla basi nao wanahitaji kushughulikiwa pia kama alivosema mchangiaji mmoja ila sio wahindi tuu hata wale wenye mikokotenni wanaobeba pombe nao pia wanahitajika kuadhibiwa na wenye magari pia
Allah inusuru dini yako, Allah wabariki waislamu zanzibar na duniani kwa jumla

maguvu said:
25/08/2011

@ Mshauri2 inaonesha wewe pia unashabikia unywaji wa pombe na wewe ni mmoja unaepalilia kuuwa maadili ya mila za ZNZ na mpinzani wa ALLAH katika jambo hili la kuuza na kunywa pombe.
na uwache kuwaita waznz wanafiki wanafiki nafkiria unawajuwa lakini tu unawanyamazia kimya.
na huu ni mwanzo tu hata badooooooooo we will keep the fire burning mpaka kijulikane
na ahsante kwa kutowa information kwa hao wanao uza kwa jumla walikuwa wamesahauliwa
vijana tunaomba na hao wahindi pia washuhulikiwe.

Confuser said:
Safi sana vijana mulichoma moto hilo jumba la maasi!!!

Sasa ni wakati wa kuwamwagia tindi kali na hawa MAGABACHORI wanaouza pombe kwa jumla hapo katika maeneo ya Darajani…wabeba pombe iwe kwa mikokoteni ama kwa magari nao wanahitaji kushughulikiwa.

Yaani sasa tunakwenda na mfumo kama huu, maana viongozi wao hawana dini kwa hiyo wanaacha maasi nje nje ndani ya Zanzibar…..

Sina zaidi ila ndio kwanza moto unachochewa. Aluta Kontinua!!!

kafiri orijino said:
26/08/2011

Safi sana chomeni bar zote, sie wazanzibari tunajua Ubasha na Usagaji tu si Pombe, bora bar zote zifungwe tubaki na na mabasha tu na ******* mitaani. Wito Kwa maustaazi endelezeni wimbi la kuharibu watoto wa madrasa. Usenge ju juu zaidi, pombe ziiiiiii!

Junius said:
26/08/2011

sahihi kabisa, huu ni uovu na umeondolewa kwa mikono kama ilivyoagizwa katika suna, wanaotaka "…njia nzuri…" zitumike kuondowa uovu huo hawana hoja ya maana maana hata hiyo njia iliyotumika kuichoma moto bar hiyo siyo dhambi na Mungu anawalipa thawabu.

Tumefundishwa katika Tareikh kuwa, wanafiki walijenga msikiti Madini na kumtaka Mtume s.a.w akaufunguwe,kumbe walipanga njama za kumdhuru mtume s.a.w, Mtume alipata wahy na kuamuru msikiti ule ukavunjwe, ITAKUWA BAR!!!!!

MUNGU IBARIKI NCHI YA ZANZIBAR

J
 
Jamaa kwao uovu ni pombe tu, uzinzi aaah. Mmesahau kwamba hata mitume wenu mnaowaamini walikuwa wanywa pombe, lakini hawakuwa wazinzi, mbona nyie wazinzi. Sasa hivi mpo kwenye mfungo wa ramadhani, madada poa wanalalamika huko kitaa kwamba soko hakuna. Huu unaweza kuwa ushahidi kwamba soko kubwa la hawa madada poa ni hao hao wanaoona pombe ndo dhambi kubwa.
 
Maoni Baadhi ya Wasomaji:
cultural tolerance is key to our modern life

anyone denying that is imbecile to me

NImejifunza kwamba wapumbavu wengi sana wangependa hata midomo ya ndugu zao inuke kama midomo yao, hata kama ni misafi na haina dental carries

Walaaniwe wahukumuyo, walaaniwe wanaohukumu na ni washenzi kwani kamwe hawawezi kuchukua nafasi yamola kwenye jamii\

tafsiri ya ilmu pia imewatupa mkono kwani hakuna kati yao awezaye kusimama na kusema you are bright

POLENI WAPUMBAVU WOTE MNAOUNGAMKONO USHENZI
 
Nimewahi kuishi zanzibar kwa muda wa miezi mitatu nikiwa nafanya project moja, nilichokiona zanzibar ni ushenzi mtupu kwani hawa jamaa wanavuta bangi hadharani na hakuna action yoyote inayochukuliwa na SMZ. Hapo hapo gymkana walikuwepo wadada waliovaa hijabu na wanagonga Tusker baridi kama kawaida. Hawa jamaa ni wazinzi mmno, wachoyo na wabaguzi mmno, yaani huku bara mambo poa sana, sasa hebu fikiria mtu amefunga na ana swaumu kisha anakwenda kufanya hujuma kwa muislam mwenzake, sasa swaumu ipo wapi hapo au ndio kushinda na njaa huko? Siungi mkono hujuma hizo, na ninawalaani wote waliohusika na vitendo hivyo

Kuna siku moja nilikuwa nasikiliza redio moja ya zanzibar sikumbuki kama ni coconut au la. kuna jamaa alimlawiti dogo mmoja mahakama ya zanzibar iliamuru msela alipe laki saba au aende jela mwaka mmoja, can you imagine unamlawiti mtu unalipa laki saba, kazi ipo
 
nilijua tu mwishoe kitanuka humu.... Maana watu kwa kujifanya wana akili nyingi...
 
HIVI DINI NI NINI???...NA KAMA NDIVYO HIVYO KWANINI HAWA JAMAA WANA CHANGANYA NYAMA,KILEO KUWA TATIZO KWAO??OK waseme kama ilo nalo ni la MUUNGANO ili kamati ile mkwanja as usually.wamezoea kula Ruzuku toka bara ambazo zinakusanywa toka kampuni za BIA NA CLUB,GUEST HOUSES,HOTEL, nk..ukitaka haki vyanzo vyote vya mapato ni HARAM.WACHOME NA ZAKITALIII KWANI ...YA HATARI YANAFANYIKA HUMO.
 
Back
Top Bottom